Mimi nilifikiri mnaenda kuwajadili wakina bulemboKUHUSU KIKAO CHA KAMATI KUU YA CCM NA HALMASHAURI KUU YA CCM View attachment 784840
Hamna mkuu,tunajadili nani awe mkiti baada ya Mbowe, Lissu au Sugu.Tunawafundisha nn maana ya demokrasiaMimi nilifikiri mnaenda kuwajadili wakina bulembo
kikao cha mumiani....KUHUSU KIKAO CHA KAMATI KUU YA CCM NA HALMASHAURI KUU YA CCM View attachment 784840
Hamna mkuu,tunajadili nani awe mkiti baada ya Mbowe, Lissu au Sugu.Tunawafundisha nn maana ya demokrasia
hizo ni fikra zako lakini tambua huku kwetu kumetawaliwa na demokrasia ya hali ya juu sana maamuzi hutolewa kwa makubaliano ya vikao sio kama kwenu huko mtaa wa ufipa maamuzi yanatolewa na familia mojaKwenda kuitikia ndioooooo kwakuwa M/kiti alishaamua anavyotaka yeye
hizo ni fikra zako lakini tambua huku kwetu kumetawaliwa na demokrasia ya hali ya juu sana maamuzi hutolewa kwa makubaliano ya vikao sio kama kwenu huko mtaa wa ufipa maamuzi yanatolewa na familia moja
kwahiyo wewe ushajua hata ajenda za kikao sio acha kupalamia gari
Vitaketi.KUHUSU KIKAO CHA KAMATI KUU YA CCM NA HALMASHAURI KUU YA CCM View attachment 784840
unamaana gani