Serikali: Tumemuondoa Bi. Awa Dabo wa UNDP kwa kutokuwa na Maelewano na watendaji ofisini kwake

Hii taarifa wanatulea as if watanzania ni mazuzu. Maana inaonesha kuna kitu nyuma ya pazia. Sababu iliyotolewa na Wizara haiwezi kumtukuza mtu kwa masaa 24. Niseme tu watanzania walio wengi wanajitambua.
 
Hivi kama hamna mahusiano mazuri na wafanyakazi wenzake ndani ya UNDP inahalalisha serikali yetu kumpa saa 24 kuondoka nchini? taarifa hito ina ukakasi, tuache uongo tujifunze kusema ukweli.
Na wewe usiwe mtoto. Jua kua si kila ukweli husemwa hadharani.
 
Mbona huyu sio wa Kwanza?
Mbona marais wote wamefanya haya.Nchi kwanza halafu watumishi wa UN
Walifanya kwa ajili ya nyapu au kwa ajili ya maslahi ya nchi?

Nina uhakika Rais wetu hausiki na hili na nitakuwa mtu wa mwisho kuamini hivyo.
 
Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, imeliagiza Shirika la Umoja wa Mataifa la Programu ya Maendeleo (United Nations Development Programs – UNDP), kwa upande wa Tanzania kumuondoa nchini Mkurugenzi wa Shirika hilo Bi. Awa Dabo.

AHDR5.jpg


Taarifa iliyotolewa na Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki,imesema Serikali ilifikia uamuzi huo kutokana na Bi. Dabo kutokuwa na maelewano mazuri na baadhi ya watumishi wenzake pamoja na menejimenti ya shirika hilo, hivyo kupelekea kuzoretesha utendaji wa shirika hilo nchini na kupunguza kasi ya kuleta maendeleo kwa Watanzania endapo hatua za haraka zisingechukuliwa.

Baada ya kuthibitishiwa kuondoka nchini, Serikali kupitia Wizara ya Mambo ya Nje imetoa rai kwa UNDP kuwakumbusha watumishi wake kwamba, kipaumbele chao ni kufanya kazi na Serikali ili kufikia malengo yaliyoainishwa kwenye Dira ya Maendeleo ya Mwaka 2025, Mpango wa Maendeleo wa Miaka mitano na Malengo ya Maendeleo Endelevu ambayo yamefafanuliwa katika Agenda ya Mwaka 2030.
 
Mbona hakuna anayeeleza Mange kasema nini? Kwanini mnaamini kila mtu ameona hicho alichopost Mange? Inakera sana unatoka page 1-7 hakuna chochote cha maana kinachoelezwa kuhusu hiyo hadithi ya Mange.
Huna account Insta....?eeeehhhh...
 
Taarifa hii inachanganya zaidi.Kuna uwezekano hao watumishi wenzake ndio wenye matatizo.Nadhani jukumu la kutathmini nani anafaa kuitumikia UNDP ilitakiwa ifanywe na UN baada ya kufanya uchunguzi wao.
Other matters significantly transcend your intellectual domain young man
 
Hivi kama hamna mahusiano mazuri na wafanyakazi wenzake ndani ya UNDP inahalalisha serikali yetu kumpa saa 24 kuondoka nchini? taarifa hito ina ukakasi, tuache uongo tujifunze kusema ukweli.
Mnataka msikie nini sasa
 
Ni sahihi kabisa. .. Yule mama alikuwa anawakoromea mpk wazungu... Alikuwa anaogopeka kama simba.aisee naunga mkono hoja iliyopo mezani
 
Wamemdharau huyu mama Awa Dabo sababu ni mwanamke na mbaya zaidi katoka from shitty Gambia. Wanataka UNDP wamlete White Boy to fcuk them in their black asses ili wamheshimu.
 
Mimi hata sielewi kinachoendelea hapa. Mara sijui Nani kafukuzwa, mara Mange Kimambi, mara hoyce temu, mara nyapu..ili mradi sielewi kinachoendelea
 
Back
Top Bottom