Taarifa kutoka serikali ya wanaudsm

Taarifa kutoka serikali ya wanaudsm

Luge brown

Member
Joined
Aug 6, 2017
Posts
66
Reaction score
143
Zipo tetesi kwamba leo tarehe 16/02/2018 mwanafunzi wa chuo kikuu cha Dar es Salaam aitwae AQULINA AKWILINI BAFTAHA, amepigwa risasi na jeshi la polisi akiwa kwenye daladala, Duru zinaarifu kuwa polisi hao walikuwa wanakabiliana na waandamanaji kwa kutumia risasi za moto ndipo mwanafunzi wa UDSM tajwa hapo juu akapatwa na risasi iliyomsababishia umauti!!!

Hivyo kwa yeyote mwenye taarifa za mwanafunzi tajwa hapo juu asaidie kutoa taarifa zake kwa uongozi wa DARUSO hususani waziri wa ulinzi au uongozi wa chuo mapema iwezekanavyo ili kuthibitisha kama kweli jina hilo ni la mwanafunzi wa UDSM au laa.

Pia ikiwa mwenye jina hilo yupo na hajadhurika na kitu chochote nae anapaswa kujitokeza kwa uongozi ili kuondoa sintofahamu hii inayoendelea miongoni mwetu.


Msipende kumuweka Mange kimambi ni source ya Taarifa
 
Eti msipende kumuona mange kimambi.
Pum***u.

Mange mwenyewe ka regran kutoka kwa Mtatiro.
 
Hivi UDSM ndo imepoa to this extent kweliiiii????Enzi hizo kwa sisi tunayoifahamu UDSM,leo hii kungekuwa na maandamano ya kufa mtu kupinga upumbavu walioufanya hawa jamaa na si kuandika huu utumbo
 
Hivi UDSM ndo imepoa to this extent kweliiiii????Enzi hizo kwa sisi tunayoifahamu UDSM,leo hii kungekuwa na maandamano ya kufa mtu kupinga upumbavu walioufanya hawa jamaa na si kuandika huu utumbo
Yaani waingie maandamanoni bila kuwa na facts??
Wasomi hufanya mambo kwa facts, kama uzi ulivyosema, mwenye taarifa za huyo denti kuuawa apeleke.
Ma kwa jinsi alivyowekwa, kuna uwezekano tafiti zao za awali zaonyesha huyo "denti" sio wa udsm.
 
  • Thanks
Reactions: Oii
Aweke habar zilizo na Uhakika na Huyo dada Yupo ni mzima na sio Mwana UDSM anasoma NIT huyo
Ile picha inayosambaa ko ni uhongo, na huyo dada ken picha yupo? Kama yupo mbona hapokei simu toka jana... Hapa nipo na watu wakozi moja nae na wana namba ake, na ni group disc meet wao....
 
Ile picha inayosambaa ko ni uhongo, na huyo dada ken picha yupo? Kama yupo mbona hapokei simu toka jana... Hapa nipo na watu wakozi moja nae na wana namba ake, na ni group disc meet wao....
Tafadhari andika vizuri. Una maswali mazuri lakini haueleweki vizuri kwa wengi sababu ya uandishi.

Uandishi wako ufafanane na wa mwanafunzi wa shahada ya kwanza tena wa UDSM.
 
Hii ndo taarifa rasmi ya uongozi wa wanafunzi,

Yaani viongozi wamekaa ndo wakaja na taarifa kama hii

Mkuu samahani wewe ndo umeandika hii na wala sio taarifa rasmi ya kiuongozi,

Kama ni kweli ni taarifa rasmi ya kiuongozi kuna tatizo kubwa sana hapa

Wameshindwa kama viongozi kufuatilia toka jana basi hata leo asubuhi wakajiridhisha na wakatoa taarifa ya maana

Aiseeeeeeeeeeeeeeee


Bas sawaaaaaa
 
Hizo ndo taarifa baada ya Kfatiria Viongoz wa serikal ya Wanafunzi
 
Ile picha inayosambaa ko ni uhongo, na huyo dada ken picha yupo? Kama yupo mbona hapokei simu toka jana... Hapa nipo na watu wakozi moja nae na wana namba ake, na ni group disc meet wao....
Andika vizuri ueleweke....unaandika kama unakimbizwa....unataka nani apokee cm aliepigwa risas au??
 
Andika vizuri ueleweke....unaandika kama unakimbizwa....unataka nani apokee cm aliepigwa risas au??
Ilijipost mapema, ndio huyo aliepigwa risasi...... Mana hata wewe hujasema nikweli kapigwa risasi au la! Kama hajapigwa risas yupo wapi? Na kama kapigwa anaendeleaje...... Coz wengi wamepost kwamba kafariki... Ken magroup ya watssup ndo habari inayosambaa sana.......
 
Ulivyoweka tu neno Mange kimambi bhasi najua hii taarifa ina ukweli, na wewe uliepost hii habari ni mnufaika wa ccm
 
  • Thanks
Reactions: y-n
Ilijipost mapema, ndio huyo aliepigwa risasi...... Mana hata wewe hujasema nikweli kapigwa risasi au la! Kama hajapigwa risas yupo wapi? Na kama kapigwa anaendeleaje...... Coz wengi wamepost kwamba kafariki... Ken magroup ya watssup ndo habari inayosambaa sana.......
Watakuja tena na lile neno" KATEKWA".haaaahaaaahaaaa hizi siasa Ut**O
 
Hivi UDSM ndo imepoa to this extent kweliiiii????Enzi hizo kwa sisi tunayoifahamu UDSM,leo hii kungekuwa na maandamano ya kufa mtu kupinga upumbavu walioufanya hawa jamaa na si kuandika huu utumbo
Kweli elimu haijakusaidia. Unaandamana bila kuwa na uhakika? Wao wanataka uhakika halafu mengine yafuata. Una akili za kukurupuka sana.
 
Back
Top Bottom