Taarifa: Kitimoto yaadimika siku ya Idd

Taarifa: Kitimoto yaadimika siku ya Idd

mwehu ndama

JF-Expert Member
Joined
Nov 12, 2019
Posts
1,411
Reaction score
5,150
Duru za kuaminika zikimuhusisha jamaa yangu wa karibu ambaye ni mfanya biashara wa vilevi pamoja na nyama ya nguruwe(kitimoto) maeneo ya misufini huko morogoro , Zinadai Leo biashara ya kitimoto na bia imechanganya sana.

Duru zimeenda mbali na kudai kuwa mpaka kufika majira ya saa 9 mchana wa Leo , kitimoto kilikuwa kimeisha katika maeneo yote maarufu kwa uuzwaji wa nyama hiyo hapo morogoro!.

Wakati huohuo vyanzo vyangu vingine vinadodosa kwamba mabanda mengi ya kitimoto hapo daslam nayo yameshuhudia ukame wa mbuzi katoliki katika Siku hii muhimu kidini.
 

Attachments

  • 6793a299e2472895000715c0c2ec6852.jpg
    6793a299e2472895000715c0c2ec6852.jpg
    81.9 KB · Views: 22
  • img_2_1743442253136.jpg
    img_2_1743442253136.jpg
    125.2 KB · Views: 19
Jamiiforums stooping at the lowest content.

💨💨

Kuna ukweli gani😂
 
Hapa hakunaga hoja, ila wanataka kulazimisha hoja. Kwa kifupi hiyo mitakataka mtaendelea kula waroho.

Mbona mimi sionagi bucha ya hizo nyama??? Napita barabarani sikuwahi kuona hata bucha lao lipoje unaposema imeadimika kwa kipimo kipi?? Mbona tunaona mabicha ya nyama za ng'ombe, mbuzi, samaki hapa nilipo mpaka nikifika kituoni barbarani kulia na kushoto kuna zaidi ya bucha 10 za nyama halali.

Sasa mnaosemaga hiyo haram imeadimika mnatumia kigezo gani??? Sawaswa na mtu aniambie bange imeadimika wakati sikuwahi ona duka linalouza bange
 
Hapo mods na Melo roho zao zimefurahi kweli kusikia jamii fulani inadhihakiwa, mods na melo ni wapumbavu wakubwa kwa kuruhusu ujinga huu
 
Back
Top Bottom