Taafikiane hili kwanza

Taafikiane hili kwanza

🤣🤣Yeah sure ...from now on....ngoja niwaachie na kumada gwao waconclude wenyewe 😤
Hahaha.......wasije kunipopoa mawe Babu yao tu, maana Mada yako imewabamba ujue 🤪
 
Nakwambia maji tutaita mma kama vibogoyo😀😀

Ila for sure napendaga ulivyo charming na muwazi, nyuzi zako zinafurahisha sana.😀
Na nipo Kwa ajili ya hilo cute...furaha tu...ndo maana positive and negative comments nareply♥️♥️♥️ Asante Kwa kuappreciate mom
 
Mapenz ni starehe Wala siyo ugomvi.....na unapoenda kuonana na mwenzio unajua kabisa waenda kustarehe.....sasa tukubaliane kwenye faragha zetu ni ruksa kushikwa popote Ili mradi tu najisikia vizuri kufanya hivyo

I mean tusipangiane pa kushika... wanawake wastaarabu kidogo hawana Ubishi mwingiii....nyie wanaume mmenielewa? Nauliza mmenielewa?

NB:Likizo ndo imeanza msiponipa Kaz ya kufanya hakika mie ndo nitawapa. siku njema wapendwa😘😉
Kwa hiyo ata ulimi kule kwenye linda mukide tuu au mie ndio sijaelewa🤔🤔🤔🤔
 
Watu hawajui Sex is art
Mapenzi ni Sanaa
Kila mtu ana sauti ila sio kila mtu anaweza kuimba.

Kila mtu ana mjegejo na mjegejuo ila sio kila mtu anaweza kuvitumia.

Mapenzi/Sex ni kama Mchoro ambapo mwanaume ni Rangi na brush mwanamke ni ile karatasi inayochorwa.

Bila karatasi au rangi hakuna mchoro.
Lakini nature ya mchoro ni tofauti kabisa na Karatasi au Rangi.

Mtu yeyote anaweza kununua Karatasi na Rangi Dukani.
Lakini sio kila mtu anaweza kuchora kama Da'vinci
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom