Mzee wa kupambania
JF-Expert Member
- Aug 14, 2022
- 21,774
- 54,845
Starehe gani hiyo sasa mwanamume kushikwa kiuno na manzi? 😅Ndo starehe yenyewe sasa
Wewe wakati wa kumwaga uno ndo nikushike kiuno ili ulikoleze
Starehe gani hiyo sasa mwanamume kushikwa kiuno na manzi? 😅Ndo starehe yenyewe sasa
Masharti kama kwa sangomaKupangiana huko
mm navyopenda kuzururisha mikono sasa hatuwezi kuelewana Lazima tudumishe uanaume hata kwenye starehe weweKupangiana huko
Unashika na tako kabisa? 😳Masharti kama kwa sangomamm navyopenda kuzururisha mikono sasa hatuwezi kuelewana
Sent using Jamii Forums mobile app
Wasumbufu aisee,kinachonikera wanatishia kutuvujisha damu☹️Masharti kama kwa sangomamm navyopenda kuzururisha mikono sasa hatuwezi kuelewana
Sent using Jamii Forums mobile app
Kiunoni ndio napenda kubonyeza pale penye vijishimoUnashika na tako kabisa?![]()
We naye umezidi jaman,hadi kiuno??🙄🙄🙄Nishike kifuani, shingoni, kichwani au nishike mikono yangu
Mimi hata nikiwa namkiss manzi tukiwa tumesimama sitaki anishike kiunoni
Yeye anishike mabegani au shingoni mi nimshike kiunoni
Eti jaman sasa raha ipo wapi kukaa na baby masharti kibaoWe naye umezidi jaman,hadi kiuno??![]()
Wa ivyo,unashika hadi tykkkooo una piga afu unakimbia kujihami 😂😂😂😂
Kushikwa kiuno ni uanamkeWe naye umezidi jaman,hadi kiuno??🙄🙄🙄
Wa ivyo,unashika hadi tykkkooo una piga afu unakimbia kujihami![]()


mbona utatolewa ngeu 😅😅😅 ushindwee
Hivi kweli jamaa yako unambonyeza kwenye kiuno kwa chini na yeye katulia tu?Sawa
😊Achana naye huyo....🤒
😂😂😂😂😂😂😂🤣🤣🤣 Mkorofi wewe 🙌