Ulipopawaza wewe ndio hapo hapo. Unataka ushike nn tofauti na mic na kifua?🤣🤣🤣Wewe umewaza wapi mkuu.....mgongoni
Mapenz ni starehe Wala siyo ugomvi.....na unapoenda kuonana na mwenzio unajua kabisa waenda kustarehe.....sasa tukubaliane kwenye faragha zetu ni ruksa kushikwa popote Ili mradi tu najisikia vizuri kufanya hivyo
I mean tusipangiane pa kushika... wanawake wastaarabu kidogo hawana Ubishi mwingiii....nyie wanaume mmenielewa? Nauliza mmenielewa?
NB:Likizo ndo imeanza msiponipa Kaz ya kufanya hakika mie siku njema wapendwa😘😉
Mi sijasema mniulize maswali....ni suala la kukubali ndiyo mshikwe popote
🤣🤣🤣🤣 Nimekupenda mkuu,wenzio wanazunguka kweli kama hawajanielewa King Kong IIIMi kwakweli Tako haliguswi,maana kwanza mashine italala
Ndio nimekuuliza useme wataka shika sehemu gani mrembo?Ndo huko kupangiana sasa🙄