Dark City
JF-Expert Member
- Oct 18, 2008
- 16,252
- 11,648
Nahitaji taa inayotumia mionzi ya jua ambayo inahamishika (a portable solar lamp) yenye uwezo wa kutoa mwanga kwa muda usiopungua masaa 6. Inaweza kuwa ya buld moja au zaidi, kwa matumizi ya muda mfupi katika mazingira ambayo hakuna umeme wa vyanzo vingine.
Kama kuna mwenye taarifa ya mahali zinapopatikana hasa hasa katika miji ya Mwanza na Dar basi naomba anijulishe.
Kama kuna mwenye taarifa ya mahali zinapopatikana hasa hasa katika miji ya Mwanza na Dar basi naomba anijulishe.