Taa ya solar (A portable solar lamp)

Taa ya solar (A portable solar lamp)

Kuna mdau aliuliza kwa pm huo mfumo wa taa nne ukoje.
Panel yake ni 6 watts, lkn waweza badilisha hata kubwa zaidi.
Ikiwa fully charged waweza washa taa zote 4 kwa masaa 6. Taa zake zina mwanga wa LED, ukiwasha taa 2 ni masaa 12 na taa moja ni masaa 24.
Ina USB ports 2 ambazo output yake ni 1A at 5V ambayo ni standard, kwa maana kwamba kifaa chochote unachocharge kwenye computer waweza charge hapo. Tablets n smart phones.
Waweza tumia redio au kitu kinachotumia less than 24W waweza plug kwenye 12V output
Total wattage ni 53W ambazo ni 24 W toka kwenye 12V output, 24W toka kwenye 12V lighting output na 5W kwenye 2 USB outputs.
Capacity ya battery ni 4Ah na nominal voltage ni 12V
 
Naweza kukunganisha na dealer wa mwanza (simjui bado, lkn ukinipa a day or two naweza mpata) otherwise nikutumie kwa basi ila gharama ya usafiri itakuhusu.

ntashukuru pia my dear fiend, nimesafiri ghafla kutoka dar, ningeweza kuchukua hio solar light, ntakutafuta unitumie kwa gari, no problem with transport costs, nitakuwa mwanza kwa muda.

Thanks for being concerned.
 
Wakuu, hizi solar lamps zinapatikana wapi kwa Tanga City?
 
Duh, si ungeniambia nikupe solar king ya mmarekani yenye kuweza kuwaka mpaka masaa 36. Pia ina port mbili za kucharge simu na tablet

Warrant ni 5 years, ila iko juu; sh 75,000 isiyoweza kicharge simu ni sh 25,000 na ina up to 30 hrs za kuwaka.

A small system yenye taa 4, port 2 za simu na moja ya radio inauzwa 280,000/=

Ahsante sana Kaunga kwa hii post na pia kuwa jitihada zako hadi nikapata taa,

Kusema kweli, hiyo taa imekuwa msaada mkubwa sana kwangu na ilitimiza mahitaji yangu yote kwa kipindi nilichokaa huko vijijini. Tayari nitakutafuta ili niwanunulie ndugu zangu. Zile nilizopeleka walizigombania sana!
 
Last edited by a moderator:
Ahsante sana Kaunga kwa hii post na pia kuwa jitihada zako hadi nikapata taa,

Kusema kweli, hiyo taa imekuwa msaada mkubwa sana kwangu na ilitimiza mahitaji yangu yote kwa kipindi nilichokaa huko vijijini. Tayari nitakutafuta ili niwanunulie ndugu zangu. Zile nilizopeleka walizigombania sana!

thanks Babu DC, nimefurahi kuwa zimekidhi mahitaji yako. Honestly of all the people nisingekupa kitu fake; sura ningeificha wapi?

Msalimie bibi sana.
 
Last edited by a moderator:
thanks Babu DC, nimefurahi kuwa zimekidhi mahitaji yako. Honestly of all the people nisingekupa kitu fake; sura ningeificha wapi?

Msalimie bibi sana.

Ahsante sana Kaunga,

Bibi anakusubiri tule uwono....
 
Last edited by a moderator:
You are the best, kweli akiiona ninajua hatafikiria mara mbili kuinunua.


My great pleasure Kaunga...

Ubarikiwe sana na naamini watu wengine watazipenda taa zako!
 
Last edited by a moderator:
Duh, si ungeniambia nikupe solar king ya mmarekani yenye kuweza kuwaka mpaka masaa 36. Pia ina port mbili za kucharge simu na tablet

Warrant ni 5 years, ila iko juu; sh 75,000 isiyoweza kicharge simu ni sh 25,000 na ina up to 30 hrs za kuwaka.

A small system yenye taa 4, port 2 za simu na moja ya radio inauzwa 280,000/=

Naomba namba zako mkuu tufanye biashara kiongozi.
 
Back
Top Bottom