Taa ya ajabu.. Sasa inachaji simu pia!!

futikamba

JF-Expert Member
Jan 18, 2010
243
13
Hello JF,
Sasa taa ya ajabu inachaji Simu pia!!

  • Haitumii Betri
  • Haitumii umeme wa jua
  • Haitumii Mafuta ya Taa/Petroli/Dieseli
  • Waranti ya mwaka mmoja kwa kila manunuzi.
  • Ndogo na inabebeka
CIMG0245.JPG
Crank Box
Inawasha taa kwa muda wa saa 1 kwa kubonyeza tu. Heh! Inachaji Simu pia.

Kwa TZS 20,000/= Unaweza kupiga simu na kupata mwanga wakati wowote na mahali popote kwa kubonyeza tu.

Je unahitaji kuwa wakala kwa bidhaa hii?
Wasiliana nasi
Tel: +255 222 618 217
Mobile: 0653 297681 au 0715 997688
E-mail: tanhompowersys@gmail.com

Je Unahitaji bidhaa hii?!
Tutembelee, Tupo mbezi Beach - Samaki Karibia kabisa na kituo cha daladala.
Karibuni.
 
Hivi hizo taa ndio kama zile zilizokuwepo kwenye vyumba vya kuhesabia kura?
 
Back
Top Bottom