T.shirt special kwa Kamanda Sirro

T.shirt special kwa Kamanda Sirro

Daudi Mchambuzi

JF-Expert Member
Joined
Nov 25, 2010
Posts
62,190
Reaction score
128,243
Karibu Kamanda upendeze.
1471965848528.jpg
 
Nimeipenda sana hii, salute kwa mbunifu huyu. Naombeni zi pritiwe mara tatu ya zilizodakwa.
Hii haina kurudi nyuma. "
"wall to wall"
 
Things speak by themselves.
Mchoro tu unatosha.
Hivi Raisi anajisikiaje kuona kete alichocheza kabugi maana matokeo yake ni mabaya sana... pamoja na vitisho lakini watu wana ari na shauku.... avuruge Draft tu ajifanye ulikuwa Utani kama ile kauli ya kufyatua watoto Uzazi wa Mpango tupeni kule
 
Hivi Raisi anajisikiaje kuona kete alichocheza kabugi maana matokeo yake ni mabaya sana... pamoja na vitisho lakini watu wana ari na shauku.... avuruge Draft tu ajifanye ulikuwa Utani kama ile kauli ya kufyatua watoto Uzazi wa Mpango tupeni kule
Wamemtanguliza Mutungi kutuliza upepo.
 
Pale unaposhindanisha NGUVU na AKILI!
Mkuu unamaanisha Wenye akili ni Wanaotaka Uhuru wa Katiba? au Wazuiaji?

Hivi When you become President you don't need Katiba kuendesha nchi ama? Sasa kama Yeye anaivunja na hakuna Mashitaka basi na wengine wakivunja waachwe...
 
Mkuu unamaanisha Wenye akili ni Wanaotaka Uhuru wa Katiba? au Wazuiaji?

Hivi When you become President you don't need Katiba kuendesha nchi ama? Sasa kama Yeye anaivunja na hakuna Mashitaka basi na wengine wakivunja waachwe...
Wanaotaka Uhuru wa Katiba ndio wenye Akili Mkuu!
 
Back
Top Bottom