kizaizai
JF-Expert Member
- Mar 31, 2010
- 6,056
- 7,519
Vijana mitaani wanabuni vitu vingi sana kuanzia sanaa ya shanga, ngozi, vinyago, vyakula vinasindikwa kienyeji... nk, serikali iko wapi kuwaongezea ujuzi na utaalamu, kazi ya SIDO ni nini?Ubunifu huu ungetumika katika kubuni viwanda vidogo vidogo tungekuwa mbali sana