Ta Kamugisha
JF-Expert Member
- May 17, 2011
- 3,536
- 2,187
Tukumbushane jamani juu ya uyu mtabiri juu ya tanzania, kuna siku moja akiwa anahubiri akajitokeza mtanzania mmoja na akamwombea na mapepo yake yakatoka, ila baada ya kumwombea akamwambia baadea wakutane ili ampatie utabiri wa nchi yetu, nadhani wengi wetu tuliona na hapa Jf ilirushwa.
Je uyu jamaa aliambiwa nini na TB Joshua, kama kuna mtu yoyote anayemfahamu uyo jamaa tafadhali atuletee mrejesho juu ya utabiri wa nchi yetu Tanzania.
Maana tunapoelekea si pazuri na mwenye akili timamu atanielewa,
Naomba mwenye taarifa juu ya uyu jamaa atujuze tafadhali.
Kinga ni bora kuliko tiba
Je uyu jamaa aliambiwa nini na TB Joshua, kama kuna mtu yoyote anayemfahamu uyo jamaa tafadhali atuletee mrejesho juu ya utabiri wa nchi yetu Tanzania.
Maana tunapoelekea si pazuri na mwenye akili timamu atanielewa,
Naomba mwenye taarifa juu ya uyu jamaa atujuze tafadhali.
Kinga ni bora kuliko tiba