System aliyoitegemea Lowassa ilivurugwa na Kikwete!

System aliyoitegemea Lowassa ilivurugwa na Kikwete!

Hawa lumumba bwana,mziki wa lowasa hauchezeki,hayo magari 777 mlowapa polisi walinde maslahi yenu badala ya kuwaongezea mshahara,haitawasaidia,hii ni wiki yenu ya mwisho kutamba,lowasa nguvu yake wapigakura,nyie goli la mkono
 
mleta uzi acha upuuzi na uongo usokua wa msingi..swala la linden kura si mbowe tu hata lowasa analisema sana..kauli hyo kaisema manyara na hata jana tunduma alisema!! acha kupotosha watu..half wabunge waloko hoi wa ukawa majimbon ni akina nan? sample yako umeichukua ktk majimbo mangap? mbona tuliko wengine huku ndo ccm wapumulia machine though hatuandik ujinga huo as hatujui kwa wengne?? stop that
 
Mpaka sasa Lowasa ni mshindi tayari hayo mnasema yenu zetu dua kwa Lowasa.
 
Ni ukweli usiopingika kuwa lowasa ameanza harakati za kuusaka urais muda mrefu pengine toka 1995.

Mwaka 2005 akimsindikiza kikwete lowassa alijiwekea mizizi au tuseme alitengeneza mtandao ambao ulimuingiza kikwete madarakani na kumfanya yeye kuwa waziri mkuu.

Baada ya kutemwa uwaziri mkuu system ya lowassa iliendelea kuwa madarakani kwa muda mfupi kabla ya JK kuanza kuivuruga na kuisambaratisha kabisa.

Mpaka tunafika 2015 JK alifanikiwa kabisa kuiondoa system ya lowassa serikalini.

Nadhani alifanya hivi kwa maandalizi ya kumkata katika kinyang'anyiro cha uchaguzi ndani ya ccm pengine kwa maelekezo maalum


Chadema na Team lowassa wamedanganyika na kile kilichoitwa nguvu ya waziri mkuu bila kujua ilishafutiliwa mbali.

Wengi wa wakurugenzi na wakuu wa taasisi ambao waliwekwa na lowassa walishatemwa siku nyingi.

MaDC na MaRC loyal kwa lowassa walishatemwa siku nyingi.

Kwa hiyo ile nguvu ya mamba baharini haipo kwani bahari ilishakaushwa.

Kwa sasa lowassa amebakia na usanii tu kuaminisha watu kuwa ana mahusiano na system kumbe hamna kitu ni maigizo tu.

Hili laweza thibitishwa na kauli kinzani kutoka UKAWA...Mbowe anasema lindeni kura wakati lowassa alisema pigeni kura na kazi ya kuzilinda aachiwe.hizi ni sentensi mbili kinzani kutoka katika taasisi moja.

Vijana wanapaswa kutambua lowassa hana influence yoyote kwenye chama au serikali kwa sasa....makapi ya lowassa yako nje na yanajaribu kurudi ndani ili kuweka mirija ya kula hela zetu tu.

Im so disappointed with Chadema baada ya kuuvaa mkenge huu wa kihuni ambao unaenda kuirudisha nyuma miaka 20.

Wafikirie waliohamia Chadema au Ukawa na uhusiano wao na CCM au serikali in the past 5years ndio utanielewa.

Kwa sasa Chadema wajikite katika kampeni za ubunge zaidi ili kuokoa jahazi..operesheni ya siku nne...mission impossible!

Chadema haitegemei nguvu ya system hata kwenye kauli mbiu ya Chadema ni Nguvu ya UMMA. Na kama Umma Lowassa anao. Sio maccm mnaopendelea kubebana na kulindana. Nchi Tanzania ni Yetu sote sio ya maccm na system yao.
 
Ni ukweli usiopingika kuwa lowasa ameanza harakati za kuusaka urais muda mrefu pengine toka 1995.

Mwaka 2005 akimsindikiza kikwete lowassa alijiwekea mizizi au tuseme alitengeneza mtandao ambao ulimuingiza kikwete madarakani na kumfanya yeye kuwa waziri mkuu.

Baada ya kutemwa uwaziri mkuu system ya lowassa iliendelea kuwa madarakani kwa muda mfupi kabla ya JK kuanza kuivuruga na kuisambaratisha kabisa.

Mpaka tunafika 2015 JK alifanikiwa kabisa kuiondoa system ya lowassa serikalini.

Nadhani alifanya hivi kwa maandalizi ya kumkata katika kinyang'anyiro cha uchaguzi ndani ya ccm pengine kwa maelekezo maalum


Chadema na Team lowassa wamedanganyika na kile kilichoitwa nguvu ya waziri mkuu bila kujua ilishafutiliwa mbali.

Wengi wa wakurugenzi na wakuu wa taasisi ambao waliwekwa na lowassa walishatemwa siku nyingi.

MaDC na MaRC loyal kwa lowassa walishatemwa siku nyingi.

Kwa hiyo ile nguvu ya mamba baharini haipo kwani bahari ilishakaushwa.

Kwa sasa lowassa amebakia na usanii tu kuaminisha watu kuwa ana mahusiano na system kumbe hamna kitu ni maigizo tu.

Hili laweza thibitishwa na kauli kinzani kutoka UKAWA...Mbowe anasema lindeni kura wakati lowassa alisema pigeni kura na kazi ya kuzilinda aachiwe.hizi ni sentensi mbili kinzani kutoka katika taasisi moja.

Vijana wanapaswa kutambua lowassa hana influence yoyote kwenye chama au serikali kwa sasa....makapi ya lowassa yako nje na yanajaribu kurudi ndani ili kuweka mirija ya kula hela zetu tu.

Im so disappointed with Chadema baada ya kuuvaa mkenge huu wa kihuni ambao unaenda kuirudisha nyuma miaka 20.

Wafikirie waliohamia Chadema au Ukawa na uhusiano wao na CCM au serikali in the past 5years ndio utanielewa.

Kwa sasa Chadema wajikite katika kampeni za ubunge zaidi ili kuokoa jahazi..operesheni ya siku nne...mission impossible!

Pumba uharo mashudu
 
Ni ukweli usiopingika kuwa lowasa ameanza harakati za kuusaka urais muda mrefu pengine toka 1995.

Mwaka 2005 akimsindikiza kikwete lowassa alijiwekea mizizi au tuseme alitengeneza mtandao ambao ulimuingiza kikwete madarakani na kumfanya yeye kuwa waziri mkuu.

Baada ya kutemwa uwaziri mkuu system ya lowassa iliendelea kuwa madarakani kwa muda mfupi kabla ya JK kuanza kuivuruga na kuisambaratisha kabisa.

Mpaka tunafika 2015 JK alifanikiwa kabisa kuiondoa system ya lowassa serikalini.

Nadhani alifanya hivi kwa maandalizi ya kumkata katika kinyang'anyiro cha uchaguzi ndani ya ccm pengine kwa maelekezo maalum


Chadema na Team lowassa wamedanganyika na kile kilichoitwa nguvu ya waziri mkuu bila kujua ilishafutiliwa mbali.

Wengi wa wakurugenzi na wakuu wa taasisi ambao waliwekwa na lowassa walishatemwa siku nyingi.

MaDC na MaRC loyal kwa lowassa walishatemwa siku nyingi.

Kwa hiyo ile nguvu ya mamba baharini haipo kwani bahari ilishakaushwa.

Kwa sasa lowassa amebakia na usanii tu kuaminisha watu kuwa ana mahusiano na system kumbe hamna kitu ni maigizo tu.

Hili laweza thibitishwa na kauli kinzani kutoka UKAWA...Mbowe anasema lindeni kura wakati lowassa alisema pigeni kura na kazi ya kuzilinda aachiwe.hizi ni sentensi mbili kinzani kutoka katika taasisi moja.

Vijana wanapaswa kutambua lowassa hana influence yoyote kwenye chama au serikali kwa sasa....makapi ya lowassa yako nje na yanajaribu kurudi ndani ili kuweka mirija ya kula hela zetu tu.

Im so disappointed with Chadema baada ya kuuvaa mkenge huu wa kihuni ambao unaenda kuirudisha nyuma miaka 20.

Wafikirie waliohamia Chadema au Ukawa na uhusiano wao na CCM au serikali in the past 5years ndio utanielewa.

Kwa sasa Chadema wajikite katika kampeni za ubunge zaidi ili kuokoa jahazi..operesheni ya siku nne...mission impossible!

toa ujinga kumbuka kikulacho ki nguoni mwako. Mnatembea nao mnapanga nao ila siri tunajua.

Aliyesema kula ccm kulala ukawa si mjinga kama wewe. Go back to school
 
Chadema haitegemei nguvu ya system hata kwenye kauli mbiu ya Chadema ni Nguvu ya UMMA. Na kama Umma Lowassa anao. Sio maccm mnaopendelea kubebana na kulindana. Nchi Tanzania ni Yetu sote sio ya maccm na system yao.

Amka kumekucha Kuntakint: jina hilo kubwa kwenye tamthilia za cinema akiwakilisha wamarekani weusi walipochukuliwa utumwa. Ni vizuri ukalitendea haki hilo jina!

Nguvu ya Lowasa iko kwa vijana aliohama nao CCM alipokatwa. Ni hao waliofanya fujo na vurugu Dodoma wakati NEC ya CCM ilipokutana kuteua mgombea wao kwa Urais. Ndio hao tunawaona kwenye mikutano yake ya kampeni, wamelewa na kupiga deki barabara, kama wendawazimu (angalia kwa makini aina ya watu wanaohudhuria kampeni zake na vitendo wanavyovifanya),

Nguvu ya Lowasa iko kwa wana CCM, katika ngazi za uongozi, ambao wana hofu ya ujio wa Magufuli, kwa sababu kubwa ya ufisadi na uzembe kazini.

TAFAKARI CHUKUA HATUA
 
Last edited by a moderator:
Sasa si ufurahi kimya kimya ?unamweleza nani na kwa nia gani?mkubali msikubali CCM Tz haijapata Kuwa na upinzani wa kiwango hiki tangu uchaguzi wa vyama vingi.Hadi sasa CCM hawana uhakika wa kushinda Ndo maana wanatengeneza goli la mkono.Jiulize wanaogopa nini watu wakikaa Mita 200?Hata wakiponea chupu chupu ha watakuwa na Kiburi cha madaraka tena.Lowassa kawapa funzo hawatakaa wasahau.Mungu akisimamia upande wa haki hakuna binadamu wa kupinga.Viva Lowassa viva.



Nimeota wezi wa kura wakiuawa na mali zao kuharibiwa vibaya kwa kuchomwa moto kama vibaka wengine.

Nikaota kuwa wezi wa kura ni wezi tu na hawafai kukabidhiwa rasilimali za nchi wasimamie kwani wataiba mana mpaka madaraka wanaiba.
Mwizi wa kura hawezi kuwa mwadilifu.
 
Inaelekea unajua just a tip of an iceberg.
Wenzako wanahaha Lumumba kuweka mambo sawa lakini wameshindwa.
Aliekuambia amekujaza hewa.
Ukweli ni kwamba watu wa lowasa wapo wengi sana. Wamebaki CCM kimkakati.
Jiulize kwanini kikwete hajavunja baraza la mawaziri hadi leo?

Nimekutana na Nyumbu wengi tu tena wengine mpaka wana shahada za vyuo vikuu wamelishwa shudu eti Rais anapaswa kuvunja Baraza la Mawaziri kabla ya Uchaguzi Mkuu.Lowassa alishawajua kuwa wafuasi wake ni majuha sana ndo maana akasema kipaumbele cha kwanza moaka cha tatu ni Elimu. Jiulizeni 2010 wengi wenu mliaanza kuwa na akili je jk alivunja Cabinet kabla ya Voting? Je Mkapa alifanya hivyo? Wekeni hicho kipengele kinachosema Rais anapaswa kuvunja Cabinet kabla ya Voting Process? Muwe mnajiongeza kila Nyumbu unaekutana nae anajifanya eti kuhoji ukimuuliza nipe sheria au uzoefu wa uchaguz gan Rais alivunja Cabinet anaanza kuuma midomo acheni kukaririshana kama kasuku mnajifedhehesha
 
Back
Top Bottom