Syria inafuatia baada ya Libya

Syria inafuatia baada ya Libya

Tatizola Russia wanapiga makelele tuuu lakini msaada wa maana hakuna..
 
The Assads have been in power for far too long. Hafez al Assad baba yake Bashar ametawala zaidi ya miaka 30. The Assads have not only overstayed their welcome but also guilty of shocking massacre. Bashat Al Assad has to go. Hope he is smart enough relinquish power and go into exile. The alternative is ignoble death.
 
System hiyo ya watoto kupokea kutoka kwa wazazi wao inaingia Tanzania na hivyo inabidi hata sisi tuweke maji tu kwa vile yatatukuta: time will tell. Katika historia ya taifa letu hatukuwahi kuwa na kipindi amabacho watoto wa viongozi walijinufaisha waziwazi na madaraka ya baba yao katika excesses tunazoona leo; huenda wengi walikuwa wanajifichaficha na hivyo kulimit hizo excesses. Katika system yetu ya leo, tunao akina Islam na Bashar wengi tu.
 
Back
Top Bottom