Synovate: Vinara tisa urais 2015


Tunajua mipango ya huu utafiti wenu fake! Wa kupika. Malengo vilevile tunayajua. Na walicholipwa na kuahidiwa wafanya utafiti tunakijua. Mtaumbuliwa soon!
 
Wanajaribu kudanganya umma, nadhani mimi sio mmoja wao ya watakodanganyika kirahisi hivi.
 
Jamani hawa wanaojiita watafiti wa Synovate ni moja ya taasis inayomilikiwa na CCM.Kazi yao nikupotosha umma wa Tanzania na kueneza propaganda chafu,chondechonde wananchi tupuuzeni utafiti ambao hauendani na hali halisi huu ni upuuzi mtupu wa CCM wanazidi kuendesha propaganda za udini na kikabila ili kuwa gawa waTanzania ili waendelee kututawala.
 

tehetehe, unajua nyie mnaojiita wasomi mnajichekesha. Owk unajua hesabu so?margin of error and so forth, misamiati mizitomizito unamwambia nan? uko unakowasemea 60% ya population n degree holder, apa form4 hajui kusoma wala kuandika wacha kuelewa. it seems you dont know where and who are you?
 

Wapi nimejiita msomi?

Kwa taarifa yako mimi ni anti-usomi kuliko Pol Pot. Rekodi yangu hapa JF ya kukataa wabunge kuchujwa kwa degree na mifano yangu iliyomuweka rais mstaafu wa Brazil Lula Inacio Da Silva pamoja na Harry Truman wa Marekani na Waziri Mkuu John Major wa Uingereza kama mifano ya kuigwa ingawa hawana shahada hata moja utaelezea zaidi kwamba mimi sishabikii usomi, bali matokeo ya kazi ya mtu.

But that doesn't mean I must always dumb down the narrative to the lowest common denominator, lest we all grunt like invalids. I would rather challenge mediocrity and idiocracy.

Go figure.

 

Unapoandika utafiti wako,kumbuka asilimia lazima ziendane na namba ya sample uliwahoji,otherwise iwe inajulikana na watu unawaandikia utafiti huo.
 
Unapoandika utafiti wako,kumbuka asilimia lazima ziendane na namba ya sample uliwahoji,otherwise iwe inajulikana na watu unawaandikia utafiti huo.

Ndio hapo nashangaa watu wanaandika asilimia zote hizi bila ya kuweka asilimia hizi ni za watu wangapi (what is 100%?)

Otherwise utafanywa utafiti wa watu wawili, muandishi na mkewe, halafu tutaambiwa Watanzania 100% wanaipenda CCM.
 
nacho amini kuna watu watajitolea kufanya kufanya utafiti na tutapata matokeo mazuri juu ya hali ya siasa hapa nchini
 

Kaka kaka!!acha kutumika kaka,kwel kufel kwa wanafunzi ni swala la kuunda tume?hivi huyu jamaa ako ndo kaona sululisho?tume kuchunguza nin sasa
Hajui walim wako ktk mgomo barid au vp,hajui shule za serikal zimeekwa rehan na hao hao yy akiwa anamilik shule za alpha,kwanin anaeka biashara ktk elim?au hujui miundombinu ya shule za serikal?vip malimbikizo na mishahara ya walim?kaka swala la kukosekana mitaala vp?
Kaka umesahau kbsa jamaa yupo ktk serikal miaka zaid ya 25a?kafanya nin zaid ya kuiba mali za umma..
Kaka sisi vijana kaka,ukila leo mil 10 hizo hazikupelek popote zaid ya kupata nuksi na mikos toka kwa watz na zitarudia familia yako siku moja


Don't expect honestly from cheap people!!don be cheap
 
Kaka kaka!!acha kutumika kaka, ukila leo mil 10 hizo hazikupelek popote zaid ya kupata nuksi na mikos toka kwa watz na zitarudia familia yako siku moja

Don't expect honestly from cheap people!!don be cheap
Mkuu Mwakichi, kumbe Pasco wa jf anatumika?!, analipwa milioni 10 ambazo hazimpeleka popote zaidi ya kupata nuksi na mikosi (kama ile ajali!), na na kuirudia familia yake!.

Haya, nimekubali kama niko cheap kwa kulipwa milioni 10, hivyo nisiwe cheap, nitapaswa kulipwa ngapi?.
Pasco.
 
Naomba nisaidiwe, nini maana ya mfumuko wa bei?

Maana binafsi nadhani anaposema gharama za maisha kupanda ni amezunguka kwenye kuelezea matokeo ya mfumuko wa bei!!
Au ninakosea wakuu?


Halafu ndio wanakuja na maneno kuwa

"..njaa ndio imeongoza ikifuatiwa na gharama za maisha kupanda,
....rushwa na mfumuko wa bei havichukuliwi kama ni tatizo kwa watanzania kama ilivyojitokeza mwaka 2011"

Naona kama majibu yanaweza kutofautiana kutegemea na aina ya watu wanaohojiwa hivyo sidhani kama inaweza kuwa projected kuwa matokeo yako applicable kwa wote!!
 

Umeshikiwa akili wewe
 


Dx: Bipolar Disorder, manic episode.

Rx: 1. Psychotherapy
2. Benzodiazepine
3. Lithium
 
Nina wasiwasi na utafiti huu hasa kukubalika kwa Pinda. Pinda ni mwoga mno ambaye hana hata uthubutu wa kufanya maamuzi yanayofanya na naibu waziri. Hakuna lolote la maana ambalo amewafanyia watanzania. Umaharufu huu kaupataje?
 

kweli kama huoni na una macho,huwezi ona hata ukionyeshwa, hivi kweli unaweza je kusema Magamba wanakubalika na uchafu wote unaoendelea kufanyika hapa nchini??
else, you are not a natural citizen of this country, kweli mshasahau ya muhimbili na wagonjwa kufa bila hatia?
ya walimu kuteswa kwa kutokupewa maslahi on time na yanayokidhi maisha yao?
kweli kwa wanafunzi kupigwa mabomu ya machozi kwa kudai mikopo?
na je kupe mabwe pande mlisha sahau???????
vpi hao wanaochinjwa na kupigwa risasi kila kukicha?
na serikali iliyopo madarakani wala haitoi tamko kana kwamba kila mtu ni Rais wake mwenyewe???
wacheni uhuni kutuzuga na kutupotezea maboya, hizi sio zama za bendera na upepo, kajipangeni mlete taarifa inayoeleweka,

kwa hyo magamba wamepanda kwa kukubalika kwa 1%??
hehhehhehe, hii Synovate naweza kusema ni taasisi inayomilikiwa na sisiemu, kwa muonekano tu lazima mtu uwaze hivyo.
 
ninapokosa imani na watafiti hawa inakuwa ngumu kuamini utafiti wao.
 

"Hii ndio Bongo land kila kitu lazma kiongezewe chumvi"
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…