Synovate Ipsos kutoa matokeo ya utafiti wake leo saa tisa na nusu mchana

Status
Not open for further replies.

TandaleOne

JF-Expert Member
Sep 4, 2010
1,644
709
Wakuu,


Heshima mbele. Nimekutana na habari za chini ya kapeti kwamba ile taasisi ya utafiti ya kimataifa Synovate Ipsos, leo 24 Septemba 2015 ina mpango wa kutoa matokeo ya utafiti wake kuhusu hali ya kisiasa nchini kuelekea Uchaguzi wa mwezi Oktoba.

Synovate ndio taasisi ambayo 2010 ilitabiri CCM kuanguka kwa kupata 61% toka 80%+ iizopata mwaka 2005. Bundi huyo wa Synovate kwa CCM baadaye alikuwa wa kweli kwani CCM illipata 61% uchaguzi ule wa 2010.

Huku vuguvugu la matokeo ya Twaweza likiwa bado halijapoa, hebu tusubiri tuone uhalisia wa hii tetesi ya Synovate na nini matokeo ya utafiti wao.

Ngoma inogile.

Updates:;
Ripoti ya Synovate.
http://www.ipsos.co.tz/reports/?page=polls&option=1
 

Attachments

  • Press Statement (English)- Ipsos Tanzania Sept 2015.pdf
    52.3 KB · Views: 407
Wakuu,


Heshima mbele. Nimekutana na habari za chini ya kapeti kwamba ile taasisi ya utafiti ya kimataifa Synovate Ipsos, leo 24 Septemba 2015 ina mpango wa kutoa matokeo ya utafiti wake kuhusu hali ya kisiasa nchini kuelekea Uchaguzi wa mwezi Oktoba.

Synovate ndio taasisi ambayo 2010 ilitabiri CCM kuanguka kwa kupata 61% toka 80%+ iizopata mwaka 2005. Bundi huyo wa Synovate kwa CCM baadaye alikuwa wa kweli kwani CCM illipata 61% uchaguzi ule wa 2010.

Huku vuguvugu la matokeo ya Twaweza likiwa bado halijapoa, hebu tusubiri tuone uhalisia wa hii tetesi ya Synovate na nini matokeo ya utafiti wao.

Ngoma inogile.


Huo Mchezo mnaocheza ni sawa na kujitekenya na kucheka,no wonder umekua wa kwanza kupata tetesi

Anyways ,sidhani kama Synovate watajivunjia heshima kama unavyotaka iwe

2010 Meneja kampeni wa Kikwete Abdulrahaman Kinana aliwapinga akiwaita wahuni waliposema CCM itapata asilimia 60
 
Wakuu,


Heshima mbele. Nimekutana na habari za chini ya kapeti kwamba ile taasisi ya utafiti ya kimataifa Synovate Ipsos, leo 24 Septemba 2015 ina mpango wa kutoa matokeo ya utafiti wake kuhusu hali ya kisiasa nchini kuelekea Uchaguzi wa mwezi Oktoba.

Synovate ndio taasisi ambayo 2010 ilitabiri CCM kuanguka kwa kupata 61% toka 80%+ iizopata mwaka 2005. Bundi huyo wa Synovate kwa CCM baadaye alikuwa wa kweli kwani CCM illipata 61% uchaguzi ule wa 2010.

Huku vuguvugu la matokeo ya Twaweza likiwa bado halijapoa, hebu tusubiri tuone uhalisia wa hii tetesi ya Synovate na nini matokeo ya utafiti wao.

Ngoma inogile.

Wasilete ya twaweza tafadhali
 
Hawa nao sijui watakuja na asilimia ngapi ya raia wanaodhani Ukuwa na chama saisa na neno Ukawa litakuwepo kwenye karatasi za kupigia kura.
 
Wakuu,


Heshima mbele. Nimekutana na habari za chini ya kapeti kwamba ile taasisi ya utafiti ya kimataifa Synovate Ipsos, leo 24 Septemba 2015 ina mpango wa kutoa matokeo ya utafiti wake kuhusu hali ya kisiasa nchini kuelekea Uchaguzi wa mwezi Oktoba.

Synovate ndio taasisi ambayo 2010 ilitabiri CCM kuanguka kwa kupata 61% toka 80%+ iizopata mwaka 2005. Bundi huyo wa Synovate kwa CCM baadaye alikuwa wa kweli kwani CCM illipata 61% uchaguzi ule wa 2010.

Huku vuguvugu la matokeo ya Twaweza likiwa bado halijapoa, hebu tusubiri tuone uhalisia wa hii tetesi ya Synovate na nini matokeo ya utafiti wao.

Ngoma inogile.
Tunasubiri kuona miujiza ya tafiti hii maana tafiti sasa zimezidi kuwa nyingi sana Tanzania.....
 
ni brand mbili za pombe zinazotoka kwenye pipa moja. hatudanganyiki
 
Wakuu,


Heshima mbele. Nimekutana na habari za chini ya kapeti kwamba ile taasisi ya utafiti ya kimataifa Synovate Ipsos, leo 24 Septemba 2015 ina mpango wa kutoa matokeo ya utafiti wake kuhusu hali ya kisiasa nchini kuelekea Uchaguzi wa mwezi Oktoba.

Synovate ndio taasisi ambayo 2010 ilitabiri CCM kuanguka kwa kupata 61% toka 80%+ iizopata mwaka 2005. Bundi huyo wa Synovate kwa CCM baadaye alikuwa wa kweli kwani CCM illipata 61% uchaguzi ule wa 2010.

Huku vuguvugu la matokeo ya Twaweza likiwa bado halijapoa, hebu tusubiri tuone uhalisia wa hii tetesi ya Synovate na nini matokeo ya utafiti wao.

Ngoma inogile.

Huo ukiwa utakaowapata mtaa wa pili leo wataomba ardhi ipasuke.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom