Sweet relationship; Je, hili linawezekana?

Sweet relationship; Je, hili linawezekana?

Akiwa mbali ndo viugomvi haviishi ..ila tukiwa pamoja hata miez 4 yaweza kuisha bila ka ugomvi

Yah namm pia i have been experiencing this,,but suprisingly this time things are different
 
mbona watu mna mawazo neg sana,,y cant u kwa mfano usiwe optimistic,,u hope for the best!
hapana mkuu mnapogombana haimaanishi ni wagomvi sana hapana, bali inaprove nyie ni binadamu hamjakamilika.
 
Kugombana ni kawaida sana,
kwangu tukiwa mbali mbali ndio magomvi hayaishi, wivu kwa sana na ile kukumbukana nayo huleta hasira,
Ila tukiwa karibu yani walaaaa inakua sweet sweet sweet relation.
 
Kukwaruzana suna ila km dem kakushika lazma uwe mpole chcht akitaka kufanya utanyamaza usionekane mjuaji.me nikigombanana na wife ile saa tukipatana huwa tunagegedana ht masaa 6 .hvyo unakuta cku anaanzisha ugomv ili iwe happy ending
 
Kugombana ni kawaida sana,
kwangu tukiwa mbali mbali ndio magomvi hayaishi, wivu kwa sana na ile kukumbukana nayo huleta hasira,
Ila tukiwa karibu yani walaaaa inakua sweet sweet sweet relation.

hahaha make sure mnasogeleana,,naona cc tunafanya the other way around
 
Habarini wanajamvi,

Kwanza niwashukuru kwa ushauri wenu wakati nimeleta uzi kwamba I am dating a girl ambae ana dini tofauti na yangu na kupitia michango yenu tulifanikiwa kupata suluhisho angalau la muda.

Kilichonileta leo humu ni kutaka kupata uzoefu au kubadilishana mawazo kuhusiana na trend ya this relatioship. Kwa kawaida huwa nikianzisha mahusiano at the begining huwa nakuwa so kind and calm na msichana huwa ananiona gentleman ila baada ya muda huwa nabadilika na kuwa sieleweki visa haviishi.

Kwa kuzingatia hilo, nafahamu kwamba mahusiano pale mwanzoni huwa yanakuwa so sweet mana hamjazoeana ingawa after some few months mambo yanabadilika. Kinachonishangaza this time ni kuwa tayari tuna miezi kadhaa na hatujawahi kugombana kabisaaaa! Yaani even a small quarrel zaidi nakumbuka kuna siku alichelewa kurud home nikamaind ila alivyonielezea what happened nikaona its ok (tunaish mikoa tofaut ila tunawasiliana muda mwng from asbh to jion na usiku huwa tunaongea).

So my concern ni kuwa, hivi ni kweli watu wanaweza kuishi kwenye mahusiano angalau 3-4 months bila kukwaruzana? Au ndo ile kila mmoja kaficha makucha? As for me sijawa na sababu ya kugombana nae it's like tunaelewa sana.

Naomba nipate ushuhuda au uzoefu juu ya mahusiano ya aina hii maana pamoja na kwamba nimekuwa na mahusiano mengi ila sijawah kupata mahusiano as calm as this one.

Karibuni..
It's possible kuishi bila ugomvi , if one of you is too deep in God .. Na both of you are faithful And committed on each other... Thanks..
 
...kinachosaidia msigombane mara kwa mara ni huo umbali mliopo,km ulivyosema mara ya mwisho mligombana sababu alichelewa kurudi,mara nyingi kuwa karibu na mtu, kunaongeza mawasiliano ya ana kwa ana,na hapo ndipo chances za kugombana/kwaruzana zinapoongezeka,ila km mko mbali, sio rahisi sn kugombana!
Mmh kwangu iko tofauti tukiwa karibu mikwaruzo inakuwa kidogo hata ikitokea ni rahis kusuluhisha ila tukiwa mbali ni shida hapa nilipo ni siku ya tatu hatujaongeaa no SMS no call
 
Mmh kwangu iko tofauti tukiwa karibu mikwaruzo inakuwa kidogo hata ikitokea ni rahis kusuluhisha ila tukiwa mbali ni shida hapa nilipo ni siku ya tatu hatujaongeaa no SMS no call

hahaha pole mkuu,,you have to learn to realize mahusiano bila mkwaruzano inawork
 
Unakuta wapenzi mmoja ana nyota ya moto mwingine ya maji hata mkipishana kauli kidogo tu mnakua wepesi kusameheana mana moto na maji havipatani
Nishakaa 7 months bila ugomvi wowote,love is sweet kukiwa na vipindi vingi vya furaha kuliko magomvi
 
Back
Top Bottom