IRAQW MINING
Member
- Apr 18, 2011
- 86
- 6
Jaman wana jf amani kwenu! Mm ninatatizo wapendwa,kuna mtu hapa jf huwa nampenda sn,anaitwa swty lady!simfaham nasimjui lkn nahis km ninatatizo kwn nimeshindwa kumsahau huyu mtu jaman,nafikir labda nitakuwa mgonjwa c bure hii,mwenye kujua tiba ya tatiz langu anisaidie! dah.