IRAQW MINING
Member
- Apr 18, 2011
- 86
- 6
- Thread starter
- #21
kukurupuka kwingine hakuna maana.......
jaribu kuheshm hisia za watu.
kukurupuka kwingine hakuna maana.......
jaribu kuheshm hisia za watu.
mimi na wewe nani anakutupuka..........yule mama umefika nae wapi...tupe mrejesho!!
mimi na wewe nani anakutupuka..........yule mama umefika nae wapi...tupe mrejesho!!
Ni hisia tu jamani. Sweetlady ni aje jooo! pm 60 aah nomaaa...!! Jina hilo, he is trying to imagine how sweet u are!
duh so mwishowe tuandike makorokocho?
Jaman wana jf amani kwenu! Mm ninatatizo wapendwa,kuna mtu hapa jf huwa nampenda sn,anaitwa swty lady!simfaham nasimjui lkn nahis km ninatatizo kwn nimeshindwa kumsahau huyu mtu jaman,nafikir labda nitakuwa mgonjwa c bure hii,mwenye kujua tiba ya tatiz langu anisaidie! dah.