Mahondaw
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 71,988
- 177,217
Heshima kwenu wakuu!
Naomba kuuliza swali kama uzi unavojieleza, hivi ni sahihi kwa mbaba kulala kitanda kimoja na bintiye mwenye umri kuanzia miaka 10?
Nina rafiki yangu wa kiume alidivorce na mkewe a decade ago. Katika ndoa yao walifanikiwa kupata mtoto mmoja wa kike ambaye sasa ana miaka 12. Sometimes huyo binti huwa anaenda kwa mama yake and other time kwa baba yake.
Siku moja huyo baba alinikaribisha mahali anapoishi nami bila shaka nikapokea mwaliko huo. Huyo baba anaishi kwenye apartment flani hivi kwa nilivoona kuna chumba cha kulala kimoja chenye kitanda kimoja tu. Nilimuuliza binti yako anapokuja hapa huwa analala wapi? Akasema huwa analala nae kitanda kimoja.
Je ni salama na sahihi kweli?
Naomba kuuliza swali kama uzi unavojieleza, hivi ni sahihi kwa mbaba kulala kitanda kimoja na bintiye mwenye umri kuanzia miaka 10?
Nina rafiki yangu wa kiume alidivorce na mkewe a decade ago. Katika ndoa yao walifanikiwa kupata mtoto mmoja wa kike ambaye sasa ana miaka 12. Sometimes huyo binti huwa anaenda kwa mama yake and other time kwa baba yake.
Siku moja huyo baba alinikaribisha mahali anapoishi nami bila shaka nikapokea mwaliko huo. Huyo baba anaishi kwenye apartment flani hivi kwa nilivoona kuna chumba cha kulala kimoja chenye kitanda kimoja tu. Nilimuuliza binti yako anapokuja hapa huwa analala wapi? Akasema huwa analala nae kitanda kimoja.
Je ni salama na sahihi kweli?