Swali

Swali

Muadilifu

Senior Member
Joined
Sep 26, 2007
Posts
149
Reaction score
23
Najiuliza tu, huyu Mheshimiwa alikuwa anaangalia nini hapo chini?
VHOUSE2.JPG
 
Uroho tu unamsumbua huyo mheshimiwa! Hapo alipo yupo kimwili tu lakini akili yake imefika mbali sana.
 
Kwa kuwa wewe ni Muadilifu hata tukikueleza hutaelewa?

Kama asingeangalia iki kuprove kama macho yake bado yako hai ningemshangaa sana Uncle Lundenga, mzee wa Moro!!
 
Mwanaume ambaye atakuwa hapo alipo uncle na hatoangalia basi yawezekana si mzma
 
Anamvutia pumzi! maana this time wameamua kuwafungia jela kabisa ili wabanwe na liu wapate kuwatafuna Vizuri! Last time warembo walipokuwa Girraffe Hotel walikuwa usiku wanatoroka kwenda kupata First aid kwa wapenzi wao but this time wameweka mpaka camera ili mtu asije toroka.

Jamani tuwaonee huruma hawa akina dada! maana waliliwa na hiyo group ya wakware wakiongozwa na huyo Mhindi Prashant mpaka washika adabu! Halafu bado kuna hao mapedeshee nao watagawiwa kama njugu nao wawalambe! kwakweli hii Miss Tanzania usije ukaruhusu demu wako iangie!
 
ha, huyu binti nilimpa kitambaa akamshonee mdogo wake gauni yupo std-7 kumbe yeye kashona nguo yake.
 
Si unajua mzee naye hayupo nyuma sana na vimwana??

 
si unajua mzee naye hayupo nyuma sana na vimwana??


tatizo mimi naona sio utoji wa macho jaribu kuangalia liulimi lilimvyo mtoka hapo bado udenda tu..ni kama ana sema yaani ni mtamu kumn..nya..
 
hahahahahaaaaaaaaaaaaaaaaa,ulimi na macho kodoooooooo,kwisha kazi huyu babu
 
kwahali hii hakuna kupona sanasana tunaongezewa dhambi ya kuzini kwa kutamani
 
Back
Top Bottom