mwehu ndama
JF-Expert Member
- Nov 12, 2019
- 2,071
- 7,791
Naaaam, vijana wa makamo maarufu kama millennials, wanasifa moja tu niliyoifanyia tafiti ya kutosha .. Hiki kizazi kimejaaliwa miili migumi isio choka haraka kama cast iron..
Hawa viumbe hawazeeki kifala , wanakula bia tangu nazaliwa na wanakufa katika mitungi lakini bodies zao bado zinadai..Hiki ndicho kizazi kilichobarikiwa miili imara kuliko vizazi vyote...Hawa ndio Toyota version ya binadamu.
Niko nakula bia
Hawa viumbe hawazeeki kifala , wanakula bia tangu nazaliwa na wanakufa katika mitungi lakini bodies zao bado zinadai..Hiki ndicho kizazi kilichobarikiwa miili imara kuliko vizazi vyote...Hawa ndio Toyota version ya binadamu.
Niko nakula bia