alidhani ng'ombe wake anauvimbe, alipojaribu kukamua yakatoka majimaji(maziwa) akihisi ni usaha, kwa kuwa yalitoka mengi akaamua kuhifadhi kwenye kopo ili apeleke kwa dr wa mifugo, kwa bahati mbaya mwanae akchukua lile kopo na kunywa kisha akasema taaamu... loh ikabidi a test kama kweli.. haah iliyobaki malizieni wenzangu