swali ....

swali ....

nziriye

JF-Expert Member
Joined
Jan 23, 2011
Posts
1,050
Reaction score
365
Siku zote MAVI hayana miba lakini ukiyakanyaga ni lazima uchechemee kwanini jamani ?
 
Siku zote MAVI hayana miba lakini ukiyakanyaga ni lazima uchechemee kwanini jamani ?

Sio kweli kuna watu wanapenda mavi sana mtu akijisaidia wanachukuwa wanaweka kwenye kiberiti wanatemba nayo, kila muda anakuwa ananusa
 
Siku zote MAVI hayana miba lakini ukiyakanyaga ni lazima uchechemee kwanini jamani ?

Sio kweli kuna watu wanapenda mavi sana mtu akijisaidia wanachukuwa wanaweka kwenye kiberiti wanatemba nayo, kila muda anakuwa ananusa
 
ha hahaaaaaaaaa!!! hilo nalo swali!!

tusubiri majibu kwa walio wahi kuyakanyaga!!
 
hii iinaweza ikawa signature yangu ya wiki hii...lol
 
ngoja tusubiri majibu, ila pale Nairobi kwa machokaraa ni zaidi ya kuyakanyaga, kwani wanayabeba kwenye makopo na kuwapaka watu.sijui yamekuwa mafuta
 
Back
Top Bottom