maliyamtu
JF-Expert Member
- Nov 29, 2017
- 2,135
- 3,866
Hahahaha Hajar na ulweso wangu wote hawana shida hao ni wanawake vigogo kabisaa yaniYaani wanawake wote wangekua kama wewe ingekua poa sana,sasa ngoja waje ulweso na hajar wamwage mapovu hapa
Hahahaha Hajar na ulweso wangu wote hawana shida hao ni wanawake vigogo kabisaa yaniYaani wanawake wote wangekua kama wewe ingekua poa sana,sasa ngoja waje ulweso na hajar wamwage mapovu hapa
Tatizo lenu nyie mkichepuka huko mnanogewa hata heshima nyumbani hamna pumbavu kabisaa unakuta mwanaume anapicha chafu za michepuko kwe sim yake wakati anajua kabisaa kuwa mkewe atashika hyo sim sasa namna hyo mwanamke akufanye nini ee mnatuchefua wenyewe yaniYaani wanawake wote wangekua kama wewe ingekua poa sana,sasa ngoja waje ulweso na hajar wamwage mapovu hapa
Hahahah!!Nadhani hata yeye alikuwa anawaza kwa nini hajachukua namba kwa sababu nilipomfikisha stendi ya zamani ya Singida nikamuaga akanipa hug tukiwa ndani ya defender kisha akaniambia nafsi yangu imekupenda sana sjui nifanye nini?! Mimi nisura chozi linitoke akashuka akawa bado ananiangalia hikampa bye chuma nikaipa gia lakini njia nzima nilikuwa nawaza tukio lile sijawahi kupata raha ya roho kama siku ile never.
Vigogo kivipi?Hahahaha Hajar na ulweso wangu wote hawana shida hao ni wanawake vigogo kabisaa yani
Mimi nasemaje tuwaroge tu ukienda kuchepuka mkuyunge usisimame.
Wanaume mpewe nn msichepuke nje ya ndoa?
Naombeni majibu.
Ila kuna dawa moja ya kufanya mwanaume asichepuke
Unachukua kitambaa cheupe ambacho hakijatumika mkimaliza sex na mpenzi wako unamfuta nacho kwenye dushelele unachukua zile shaha.wa alafu unakifunga na kukikaza unakificha sehemu salama akienda kuchepuka akifika huko haisimami kabisa inakuwa inasimama kwako tu mwanamke uliyemfunga.
Sku ukikifungua ndo pona yakee shida ukifa hujafungua ujue na mmeo anakuwa amekufa chini mazima.
Mrs Jr.
Nilichojifunza kuhusu wanawake ni kuwa huwa wanahisia rifauti kuna wale ambao anafanya tu kwa ajili ya fulani tu au kwa kumkomalia au pesa au anataka kitu fulani kutoka kwako.Hahahah!!
Kumbe olive oil ina matumizi mengi hivi?Nilichojifunza kuhusu wanawake ni kuwa huwa wanahisia rifauti kuna wale ambao anafanya tu kwa ajili ya fulani tu au kwa kumkomalia au pesa au anataka kitu fulani kutoka kwako.
Mimi yule binti alivutiwa na kitu fulani kutoka kwangu lakini alikuwa na aibu kusema ila kunakipindi alikuwa anatetemeka sio kwa uoga bali nadhani nilikuwa namfikisha kwenye hisia.
Hakuwahi kuniuliza nafanya kazi gani wala kama nina mke,nilkuwa natoka nje usiku kwenda kumuuliza mlinzi kama lile basi limeshapita nikiwa nimevaa taulo tu huku suruali nikiwa nimeitundika ndani.
Jambo la ajabu wala sikuwa na wasiwasi kuhusu kusachiwa,yule binti alikuwa amelelewa katika maadili mazuri na pia alikuwa na hela vile vile.
Nilikuwa namtania mara kwa mara na alikuwa ni mcheshi sana.tulijaribu style mbalimbali ambazo mke wangu nisimgewahi kumuuliza,na yule alenjoi zote nililala fofofo usiku huo aliniamsha majira ya saa kumi hivi mimi huwa natembeaga na olive oil nikajipakaa ili rusichubuane nikampa nikapewa mahaba wacha kabisa.
Mimi huwa najipaka katikati ya mapaja fungus unasau.Kumbe olive oil ina matumizi mengi hivi?
Hakuna namna tupeni ruhusa tu.Mimi nasemaje tuwaroge tu ukienda kuchepuka mkuyunge usisimame.
Wanaume mpewe nn msichepuke nje ya ndoa?
Naombeni majibu.
Ila kuna dawa moja ya kufanya mwanaume asichepuke
Unachukua kitambaa cheupe ambacho hakijatumika mkimaliza sex na mpenzi wako unamfuta nacho kwenye dushelele unachukua zile shaha.wa alafu unakifunga na kukikaza unakificha sehemu salama akienda kuchepuka akifika huko haisimami kabisa inakuwa inasimama kwako tu mwanamke uliyemfunga.
Sku ukikifungua ndo pona yakee shida ukifa hujafungua ujue na mmeo anakuwa amekufa chini mazima.
Mrs Jr.
Sasa wasio na waume papuchi zitatibiwa na nani. Kizuri usijue tu.Mnakosa nn ndani ya ndoa papuyeee hizo hizo tu
Siku mkianza kulala bila chupi na kukoma tabia ya kusema eti leo nimechoka kaziniMimi nasemaje tuwaroge tu ukienda kuchepuka mkuyunge usisimame.
Wanaume mpewe nn msichepuke nje ya ndoa?
Naombeni majibu.
Ila kuna dawa moja ya kufanya mwanaume asichepuke
Unachukua kitambaa cheupe ambacho hakijatumika mkimaliza sex na mpenzi wako unamfuta nacho kwenye dushelele unachukua zile shaha.wa alafu unakifunga na kukikaza unakificha sehemu salama akienda kuchepuka akifika huko haisimami kabisa inakuwa inasimama kwako tu mwanamke uliyemfunga.
Sku ukikifungua ndo pona yakee shida ukifa hujafungua ujue na mmeo anakuwa amekufa chini mazima.
Mrs Jr.
Mimi huwa najipaka katikati ya mapaja fungus unasau.Kumbe olive oil ina matumizi mengi hivi?
Papuchi zina grade dada angu,kuna wanawake ni watamu kukuzidi,na ubaya ukishaanza kuchepuka kuacha ni ngumuMnakosa nn ndani ya ndoa papuyeee hizo hizo tu
Yani wife material kabisaaVigogo kivipi?