SWALI: Wanaume mpewe nini muache kuchepuka?

Yaani wanawake wote wangekua kama wewe ingekua poa sana,sasa ngoja waje ulweso na hajar wamwage mapovu hapa
Tatizo lenu nyie mkichepuka huko mnanogewa hata heshima nyumbani hamna pumbavu kabisaa unakuta mwanaume anapicha chafu za michepuko kwe sim yake wakati anajua kabisaa kuwa mkewe atashika hyo sim sasa namna hyo mwanamke akufanye nini ee mnatuchefua wenyewe yani
 
Nadhani hata yeye alikuwa anawaza kwa nini hajachukua namba kwa sababu nilipomfikisha stendi ya zamani ya Singida nikamuaga akanipa hug tukiwa ndani ya defender kisha akaniambia nafsi yangu imekupenda sana sjui nifanye nini?! Mimi nisura chozi linitoke akashuka akawa bado ananiangalia hikampa bye chuma nikaipa gia lakini njia nzima nilikuwa nawaza tukio lile sijawahi kupata raha ya roho kama siku ile never.
Hahahah!!
 
Mimi nasemaje tuwaroge tu ukienda kuchepuka mkuyunge usisimame.

Wanaume mpewe nn msichepuke nje ya ndoa?

Naombeni majibu.

Ila kuna dawa moja ya kufanya mwanaume asichepuke

Unachukua kitambaa cheupe ambacho hakijatumika mkimaliza sex na mpenzi wako unamfuta nacho kwenye dushelele unachukua zile shaha.wa alafu unakifunga na kukikaza unakificha sehemu salama akienda kuchepuka akifika huko haisimami kabisa inakuwa inasimama kwako tu mwanamke uliyemfunga.

Sku ukikifungua ndo pona yakee shida ukifa hujafungua ujue na mmeo anakuwa amekufa chini mazima.


Mrs Jr.

Wapeni vijambio
 
Hahahah!!
Nilichojifunza kuhusu wanawake ni kuwa huwa wanahisia rifauti kuna wale ambao anafanya tu kwa ajili ya fulani tu au kwa kumkomalia au pesa au anataka kitu fulani kutoka kwako.

Mimi yule binti alivutiwa na kitu fulani kutoka kwangu lakini alikuwa na aibu kusema ila kunakipindi alikuwa anatetemeka sio kwa uoga bali nadhani nilikuwa namfikisha kwenye hisia.

Hakuwahi kuniuliza nafanya kazi gani wala kama nina mke,nilkuwa natoka nje usiku kwenda kumuuliza mlinzi kama lile basi limeshapita nikiwa nimevaa taulo tu huku suruali nikiwa nimeitundika ndani.

Jambo la ajabu wala sikuwa na wasiwasi kuhusu kusachiwa,yule binti alikuwa amelelewa katika maadili mazuri na pia alikuwa na hela vile vile.

Nilikuwa namtania mara kwa mara na alikuwa ni mcheshi sana.tulijaribu style mbalimbali ambazo mke wangu nisimgewahi kumuuliza,na yule alenjoi zote nililala fofofo usiku huo aliniamsha majira ya saa kumi hivi mimi huwa natembeaga na olive oil nikajipakaa ili rusichubuane nikampa nikapewa mahaba wacha kabisa.
 
Nilichojifunza kuhusu wanawake ni kuwa huwa wanahisia rifauti kuna wale ambao anafanya tu kwa ajili ya fulani tu au kwa kumkomalia au pesa au anataka kitu fulani kutoka kwako.

Mimi yule binti alivutiwa na kitu fulani kutoka kwangu lakini alikuwa na aibu kusema ila kunakipindi alikuwa anatetemeka sio kwa uoga bali nadhani nilikuwa namfikisha kwenye hisia.

Hakuwahi kuniuliza nafanya kazi gani wala kama nina mke,nilkuwa natoka nje usiku kwenda kumuuliza mlinzi kama lile basi limeshapita nikiwa nimevaa taulo tu huku suruali nikiwa nimeitundika ndani.

Jambo la ajabu wala sikuwa na wasiwasi kuhusu kusachiwa,yule binti alikuwa amelelewa katika maadili mazuri na pia alikuwa na hela vile vile.

Nilikuwa namtania mara kwa mara na alikuwa ni mcheshi sana.tulijaribu style mbalimbali ambazo mke wangu nisimgewahi kumuuliza,na yule alenjoi zote nililala fofofo usiku huo aliniamsha majira ya saa kumi hivi mimi huwa natembeaga na olive oil nikajipakaa ili rusichubuane nikampa nikapewa mahaba wacha kabisa.
Kumbe olive oil ina matumizi mengi hivi?
 
Mimi nasemaje tuwaroge tu ukienda kuchepuka mkuyunge usisimame.

Wanaume mpewe nn msichepuke nje ya ndoa?

Naombeni majibu.

Ila kuna dawa moja ya kufanya mwanaume asichepuke

Unachukua kitambaa cheupe ambacho hakijatumika mkimaliza sex na mpenzi wako unamfuta nacho kwenye dushelele unachukua zile shaha.wa alafu unakifunga na kukikaza unakificha sehemu salama akienda kuchepuka akifika huko haisimami kabisa inakuwa inasimama kwako tu mwanamke uliyemfunga.

Sku ukikifungua ndo pona yakee shida ukifa hujafungua ujue na mmeo anakuwa amekufa chini mazima.


Mrs Jr.
Hakuna namna tupeni ruhusa tu.
 
Mimi nasemaje tuwaroge tu ukienda kuchepuka mkuyunge usisimame.

Wanaume mpewe nn msichepuke nje ya ndoa?

Naombeni majibu.

Ila kuna dawa moja ya kufanya mwanaume asichepuke

Unachukua kitambaa cheupe ambacho hakijatumika mkimaliza sex na mpenzi wako unamfuta nacho kwenye dushelele unachukua zile shaha.wa alafu unakifunga na kukikaza unakificha sehemu salama akienda kuchepuka akifika huko haisimami kabisa inakuwa inasimama kwako tu mwanamke uliyemfunga.

Sku ukikifungua ndo pona yakee shida ukifa hujafungua ujue na mmeo anakuwa amekufa chini mazima.


Mrs Jr.
Siku mkianza kulala bila chupi na kukoma tabia ya kusema eti leo nimechoka kazini

Demiss
 
Ukiangalia kwa makini kuna kitu wanachokosa nyumbani japo sio wote . Wanawake angalieni wanachokosa waume zenu , muwatimizie hawatatoka tena , jaribu tu muone
 
Rafiki yangu ana mke alisafiri kikazi. Akakutana na mchepuko wake huko. Wakawa wanaishi chumba kimoja, hotel moja. Mkutano ulikuwa mrefu, siku 15. Baada ya siku 4 alinitumia SMS kuwa amemtoroka mchepuko wake hotelini amekwenda kulala kwa hawala mwingine, hotel jirani na hiyo. Huko alimaliza siku 3 lakini mchana wakawa wanaonana mkutanoni na mchepuko wake wa mwanzo. Tafrani ikaanza akabanwa kusema alipokuwa, mpaka mchepuko ukaahirisha mkutano na kurudi nyumbani kwao. Sasa napata shida kweli kujua wanaume tunataka nini...hahaha
 
Back
Top Bottom