Ng'wanangwa
JF-Expert Member
- Aug 28, 2010
- 10,829
- 4,169
Hili swali limekuwa likitesa mtima wange.
Nikitaka kupata, mathalani huduma ya kibenki ninaambiwa 'leta barua ya serikali ya mtaa'. nikienda serikali ya mtaa naambiwa leta barua ya mjumbe wa nyumba kumi-kumi.
nikienda kwa mjumbe wa nyumba kumi-kumi na kutizama kwenye paa la nyumba yake, ninaona kuna bendera ya chama cha mafisadi (CCM) inapepea. mbaya zaidi nikiingia ndani kueleza shida yangu naambiwa nilipe "Tsh. 1000 ya mhuri"
lakini mimi ishu yangu ni ya serikali. ishu ya benki. sasa mambo ya CCM yanaingiaje?
ndiyo maana nauliza.
hawa watu. mabalozi wa nyumba 10-10. ni watumishi wa serikali au wa CCM?
Nikitaka kupata, mathalani huduma ya kibenki ninaambiwa 'leta barua ya serikali ya mtaa'. nikienda serikali ya mtaa naambiwa leta barua ya mjumbe wa nyumba kumi-kumi.
nikienda kwa mjumbe wa nyumba kumi-kumi na kutizama kwenye paa la nyumba yake, ninaona kuna bendera ya chama cha mafisadi (CCM) inapepea. mbaya zaidi nikiingia ndani kueleza shida yangu naambiwa nilipe "Tsh. 1000 ya mhuri"
lakini mimi ishu yangu ni ya serikali. ishu ya benki. sasa mambo ya CCM yanaingiaje?
ndiyo maana nauliza.
hawa watu. mabalozi wa nyumba 10-10. ni watumishi wa serikali au wa CCM?