AkiliMingi AM
Member
- Jul 5, 2020
- 88
- 58
Jamaa yangu aliwahi nipa story yake na demu wake, kwamba alikua anamuamini sana na demu ndie alikua akimtoa out mara mingi sana kuliko yeye, na anamnunulia vitu vya gharama kubwa mpaka alikua anaogopa.
Siku moja aliamua kwenda kwenye gheto la demu wake kwa kumstukiza mida ya saa mbili usiku, alipo fika alikuta demu yupo kajipumzisha ila kitanda kimevurugika haswaa yani si kawaida. jamaa akauliza mbona kitanda kiko rafu ivi demu akamwambia alikua amejilaza hapo tangu asubuhi ajaamka.
Muda wa kulala ulipofika jamaa si akaamua ale tunda lake demu akawa anamkazia, jamaa alipo jisumbua sana kufosi demu akamuuliza "ivi kama mwanamke wako akilala na mwanaume mwingine alafu akakupa tunda utajuwa ?" jamaa akamjibu ndio lazima nijue maana ntahisi utofauti, baada ya kujibu ivo dk 5 demu akasema anamaumivu ya kichwa anataka apumzike, basi jamaa akaamua kumuacha maana anampenda sana hakutaka kumkera.
Ivi kama ni wewe unasikia mwanamke wako anakuuliza swali hilo alafu anakunyima ghafla utafanyaje? unge mshauri nini mdau??
Siku moja aliamua kwenda kwenye gheto la demu wake kwa kumstukiza mida ya saa mbili usiku, alipo fika alikuta demu yupo kajipumzisha ila kitanda kimevurugika haswaa yani si kawaida. jamaa akauliza mbona kitanda kiko rafu ivi demu akamwambia alikua amejilaza hapo tangu asubuhi ajaamka.
Muda wa kulala ulipofika jamaa si akaamua ale tunda lake demu akawa anamkazia, jamaa alipo jisumbua sana kufosi demu akamuuliza "ivi kama mwanamke wako akilala na mwanaume mwingine alafu akakupa tunda utajuwa ?" jamaa akamjibu ndio lazima nijue maana ntahisi utofauti, baada ya kujibu ivo dk 5 demu akasema anamaumivu ya kichwa anataka apumzike, basi jamaa akaamua kumuacha maana anampenda sana hakutaka kumkera.
Ivi kama ni wewe unasikia mwanamke wako anakuuliza swali hilo alafu anakunyima ghafla utafanyaje? unge mshauri nini mdau??