zitto junior
JF-Expert Member
- Oct 7, 2013
- 19,042
- 28,690
Dah mkuu wewe siasa hujui kabisa na dr slaa humjui kabisa ndio maana unasubiri maneno ya majukwaani kujengea hoja!!! Ndio maana nikakupa mtihani hapa kwamba kivp bestie yake slaa yani mnyika aliyetaka hadi kususa uchaguzi kisa slaa kasepa kuweka wazi sababu ya slaa kuondoka ni mambo ya kifamilia afu wwe ambaye upo lumumba unabisha???? Gwajima je ambaye ndio mshenga mbona aliweka wazi pia sababu hyo hyo kma mnyika na slaa hakuwahi kanushaDr Slaa alitoa masharti kabla Lowassa hajapokelewa wathibitishe kama ni asset au liability. Lakini mpaka anaondoka hakukuwa na jibu la kama Lowassa ni ASSET au Liability. na kwa kweli imethibitika kuwa ni liability kwa kuwa CDM kwa sasa haiwezi tena kupinga ufisadi na wameshaondoa list of shame kwenye Tovuti yao.
Haya nikuulize wwe nimuamini mnyika na gwajima au nikuamini wwe???