Mandla Jr.
JF-Expert Member
- Dec 15, 2013
- 3,099
- 630
- Thread starter
- #61
kuna nafasi za kazi ama??
Tunafanya utafiti miongoni mwa member wa JF! Kwa mfano wewe najua ya kwako ni mbovu tuu..
kuna nafasi za kazi ama??
Dont go away umemsahau mjumbe wa BMK, yule muwakilishi wa waganga wa kienyeji, babake Kinje
Lawama kwanini tena??? Kama unayo tupe au tutajie member ambaye cv yake iko poa..
Safi kivipi? Haijawahi kupigwa ban? Inaongea point za maana? Inapangwa kwa Paragraph? Hebu tuweke sawa Mkuu.
Kwani hapa msikitini au kanisani ambako padri haulizwi? Em jieleze fastaa
Tunafanya utafiti miongoni mwa member wa JF! Kwa mfano wewe najua ya kwako ni mbovu tuu..
Mbona unakoroga mambo??
Kama huna cha kuongea piga kimya tu,- Haikugharimu.
Na kwa taarifa yako tu;
Sina hakika na huko kwingine ila msikitini maswali mwanzo mwisho-Hivyo yani.
Si mada ya hapa hii ila muhimu kuwekana sawa.
Kwahiyo unataka upotoshe ukweli kisha uambiwe hongera?Usitake niandike utakavyo wewe, mimi kuandika tofauti na wewe ndio maana ya forum. Ukiweka thread na ukataka majibu uyapendayo we kaa nayo tu.
Baba yake kafikaje tena hapa
We tangaza kazi ndy utajua kama tumesoma Havard au shule za ukoko!!
Lakini ya mke wangu janeth1 imezidi mpaka mimi mwenyewe naona wivu