Swali nauliza

Swali nauliza

katoto kazuri

JF-Expert Member
Joined
Feb 10, 2018
Posts
6,126
Reaction score
5,756
Mwanamke wa miaka 32 je kama yupo single hana mtoto akitaka kuolewa ataolewa kweli ??
Kwa maana wanaume wanataka vipya ??
Hii inakuwaje???
 
Kwanini asiolewe?kuhusu wanaume kutaka vipya,huwa ni sehem ya utoto tu...ukikuwa unaelewa kuwa upya si muhm kama ulivyokuwa unafikiri.Mwezi uliopita...niliudhuria harusi ya nayemfaham...binti anamiaka 36 sasa ha hana mtoto...hata anayemuoa hana mtoto.
 
Ataolewa kwann asiolewe tena kwa shela, hakunaga vipya wanavyotaka wanaume bali kuna vingine wanavyotaka
 
Mwanamke wa miaka 32 je kama yupo single hana mtoto akitaka kuolewa ataolewa kweli ??
Kwa maana wanaume wanataka vipya ??
Hii inakuwaje???
Ataolewa vizuri kabisa ilimradi awena kipato kidogo tuu maana mudawake ushapita hivyo kipato kinaweza kumuweka kwenye chati kimtindo, siunajuwa tena wazee wa kukimbia mama wa nyumbani tupo na shida zetu
 
Age iz just a number..what matter is real love...love doesn't cost a thing
 
Back
Top Bottom