Swali nauliza

Swali nauliza

To be realistic you can't get whatever you need as a human being, hence The God gives us what we deserve and differently apart from that there is nothing.
Upo sahihi japo hutaki kuwa realistic which is very disappointing.
 
Kwa umri huo tayari wewe ni mmama japo huna mtoto,hivyo kuolewa utaolewa ila atakaye kuoa lazima atakuwa mgane,ama utegemee kuwa mke wa pili,maana utakao wapata kwa umri wako wengi watakuwa wamepitia mahusiano kwa namna moja ama nyingine,,pole kwa kulinga sana enzi za ubinti wako
 
Kwa umri huo tayari wewe ni mmama japo huna mtoto,hivyo kuolewa utaolewa ila atakaye kuoa lazima atakuwa mgane,ama utegemee kuwa mke wa pili,maana utakao wapata kwa umri wako wengi watakuwa wamepitia mahusiano kwa namna moja ama nyingine,,pole kwa kulinga sana enzi za ubinti wako
Hivi miaka 32 kwa mwanamke ni mingi sana ?
 
Mwanamke wa miaka 32 je kama yupo single hana mtoto akitaka kuolewa ataolewa kweli ??
Kwa maana wanaume wanataka vipya ??
Hii inakuwaje???
Ushakuwa used, sisi tunataka vitu vipya bana
 
Kweli kabisa brother.

Huu umri ni wa kutumia akili sana kuingia kwenye mahusiano.
Asimsahau Mungu. Ila kwa tunaohitaji kuoa mwaka huu au mwakani, huyu atakuwa anafaa kama mtakubariana vyema.
Kwa umri huo tayari wewe ni mmama japo huna mtoto,hivyo kuolewa utaolewa ila atakaye kuoa lazima atakuwa mgane,ama utegemee kuwa mke wa pili,maana utakao wapata kwa umri wako wengi watakuwa wamepitia mahusiano kwa namna moja ama nyingine,,pole kwa kulinga sana enzi za ubinti wako
 
Sidhani kama ni uhalisia/ukweli labda hao uliokutana nao wewe.
Vuta picha binti anaanza kutumika akiwa na 12yrs,mpaka afike 32 amini unakuta kesha pokea kila aina ya migegedo na hivyo kufanya papuchi kukata valve
 
Vuta picha binti anaanza kutumika akiwa na 12yrs,mpaka afike 32 amini unakuta kesha pokea kila aina ya migegedo na hivyo kufanya papuchi kukata valve
Muogope Mungu 12 years haya sijui hiyo michezo na ninajuta ningebaki na hiyo bikra yangu kwanza hamna maana napili hakuna kitu cha maana nilichopata tokea niruhusu ujinga huo ufanyike ish sisi nasi ni watu tusionaakili muda mwingi.
😡😡😡
 
Muogope Mungu 12 years haya sijui hiyo michezo na ninajuta ningebaki na hiyo bikra yangu kwanza hamna maana napili hakuna kitu cha maana nilichopata tokea niruhusu ujinga huo ufanyike ish sisi nasi ni watu tusionaakili muda mwingi.
Pole kwa hilo,hivi wewe uliruhusu ujinga huo ukiwa na umri gani?
 
Back
Top Bottom