Swali nauliza

Swali nauliza

Usiwe na hofu wala usihuzunike.

Never too late dada yangu.

Maumivu ya majuto ni yenye kuendelea endapo hutochukua hatua.

Ni muda wako wa kujijenga upya.hakuna mwanamke anapoteza thamani.wanaolewa watu wa miaka 50 vipi wewe na kaumri hako unakata tamaa?

Muhimu shukuru Mungu sana kwa sababu bado ni mzima wa afya.

BIKIRA ni kama kizibo tu.mwenye haja atakitoa kizibo hicho na kunywa kinywaji chake.hakuna mwanaume anataka kukaa na mwanamke bikira ndani miaka yote.

Wanaume wote wanaotaka bikira basi lengo lao ni kuitoa bikira hiyo.kwa hvyo dada yangu kwa sasa bikira haina thamanai na wala usijute kuipoteza kwa sababu hata ungekuwa nayo angeitoa mumeo.

Lakini tu jihadhari za zinaa,mwanaume atakayekukubali kukuvumilia mpaka AKUOE KWA SASA HUYO NDO MWANAUME.kwa sababu atakuwa ame focus na wewe kuliko ngono zaidi.

Kipimo cha mwanamke anaefaa hakipimwi na ngono,kinapimwa na muonekano wa nje na tabia kwa ujumla.

Usijekubali kuchezewa kwa kigezo cha kuonjana kisha ndo ipite ndoa.wewe ni wa thamani sana,thamani yako haithibitishiki kwa ngono tu,thamani yako inaweza kuthibitishika hata pasi na ngono.

Mwanaume atakayekufuata na kutaka ngono ili athibitishe thamanai yako basi mkimbie.MKIMBIEEEE HUYOO.

Mwanaume atakayeshindwa kuthibitisha na kukubali thamani yako mpaka akufanyie ngono,basi hawezi kuthibitisha thamanna kuikubali thamani yako hata baada ya ngono.

Atakayeiona thamani yako pasi na ngono,huyo ndo mwanaume wa kweli anayekufaa.

Katika ndoa tendo la ndoa ni tendo ambalo kwa kawaida linachukua kama nusu saa ama lisaa limoja kulifanya.

Tendo la lisaa limoja haliwezi kuwa kigezo cha kuthibitisha thamani yako.baali matendo yako ya muda wote ndiyo yanaweza kuthibitisha na kuwa kigezo cha kupima thamanai yako.

Tebdo la ndoa halifanywi kila siku katika Ndoa,sasa je ni kipi kinafanywa kila siku katika Ndoa?
Basi hicho ambacho unafikiria kinafanywa kila siku katika Ndoa kama vile kupika na kukaa na mume vozuri na kutumia tabia yako kuishi naye basi hayo ndiyo ambayo yanatakiwa upate mwanaume aone umuhimu wa wewe kuwa na hayo mambo yanayoweza kuwa applied kwa siku zote katika ndoa.

Bado una thamani kubwa sana mbele ya wanaumee.bado wanakupenda sana wanaume lakini tumeumbwa na mioyo ya kioo,hatukijui cha moyoni mpaka tuseme.

Kuwa na subira,tulia,usiwe na papara.

Usikumbuke sana ndoa ukasahau anayekuoa.bali mkumbuke anayekuoa kwanza.
Ukipata mume mwema na mstaarabu basi ndoa yako itakuwa njema na ya kistaarabu pia.ndoa haiwi njema mpaka wana ndoa wawe wema pia.

Muogope Mungu 12 years haya sijui hiyo michezo na ninajuta ningebaki na hiyo bikra yangu kwanza hamna maana napili hakuna kitu cha maana nilichopata tokea niruhusu ujinga huo ufanyike ish sisi nasi ni watu tusionaakili muda mwingi.
 
Akiwa na mbunye ile naipenda naoa kabisa. Zile mashine ukiweka kiganja tu inaumuka kama kitumbua, kiharage kinapwita tii!tii!tiii..., baada ya nusu sekunde kashaloa, nikiweka kichwa tu byuuuuuuu, basi, ni mwendo wa pwaka!pwaka!pwaka! myuku!myuku! Myuuuuu! Fichifichi! ...

Kama una sifa hiyo ni pm tafadhali.
 
Mwanamke wa miaka 32 je kama yupo single hana mtoto akitaka kuolewa ataolewa kweli ??
Kwa maana wanaume wanataka vipya ??
Hii inakuwaje???
Huyo kuzaa iko shida atakuja nijazia choo tu, na kutafuna hela yangu.

Labda aolewe na Mgane, lkn kijana wa umri wake asahau, na wanapendaga hao! heee!

Mashine safi ni kuanzia 15-30yrs, huyo asipozaa au ikiziba, naweza samehe!

Kumbe ndiyo umri wako huu katoto! jitahidi
 
Mwanamke wa miaka 32 je kama yupo single hana mtoto akitaka kuolewa ataolewa kweli ??
Kwa maana wanaume wanataka vipya ??
Hii inakuwaje???
Kama hana mtoto anaolewa wavulana wanaamini uyo bado mbichi sana
 
Umri hauna guarantee kwamba chombo NI kipya. Unaweza kuta binti wa miaka 25 kilomita zake zinasoma milage nyingi kuliko huyo wa miaka 32.
 
Kuwa na miaka mingi sio kigezo k isiwe Mpya wapo watoto qa miaka15 k ishachoka na wapo wa miaka32 utakuta anajitunza walopita hawazidi ata5
 
Snach mwimbaji wa gospel aliolewa akiwa na miaka 42 mwaka 2014, Sasa hivi sasa kapata mtoto akiwa na miaka 46 mwaka huu 2019...

Ni yule dada aliyeimba nyimbo ya "l know who I am" na "Way Maker".

Mtafute google au youtube utamuona.
 
Utaolewa tu wala usijali na usiwe na presha...

Ila kwa sasa kuwa makini na watakaokufata mana wengi watakuwa ni wachezeaji ti.

Kuwa mkn na hilo jambo.
 
Utaolewa tu wala usijali na usiwe na presha...

Ila kwa sasa kuwa makini na watakaokufata mana wengi watakuwa ni wachezeaji ti.

Kuwa mkn na hilo jambo.
ha ha ha mkuu kuna ule msemo,mficha uchi hazai...akiificha sana hata kuolewa itakuwa shida
 
watongozaji ni wengii, sasa akisema kila mtongozaji amfunulie pichu ili apime km ni mkweli au lah, atawavulia wangapiiii

Ndo mn nimesema awe makini na achambue nani wa kumvulia iyo pichu, mn wng ni matapeliiii ya mujini
ha ha ha mkuu kuna ule msemo,mficha uchi hazai...akiificha sana hata kuolewa itakuwa shida
 
watongozaji ni wengii, sasa akisema kila mtongozaji amfunulie pichu ili apime km ni mkweli au lah, atawavulia wangapiiii

Ndo mn nimesema awe makini na achambue nani wa kumvulia iyo pichu, mn wng ni matapeliiii ya mujini
ha ha ha nadhani cha muhimu zaidi ni namna anavyojiweka kwa mabaharia....kama atajiweka kama wife material ataolewa na kama atajiweka kishangingi shangingi inabidi maandiko yatimie ya kuzeeka mwenyewe.
 
ha ha ha nadhani cha muhimu zaidi ni namna anavyojiweka kwa mabaharia....kama atajiweka kama wife material ataolewa na kama atajiweka kishangingi shangingi inabidi maandiko yatimie ya kuzeeka mwenyewe.
Nyie mabaharia wa siku hizi ni vigeu geu,...

Tunaweza jiweka kama wife material lkn bhn wee kumbe vichwani kwenu mnawaza tofauti kabisa, ule na usepe bs

Cha muhimu yeye aangalie na kumchunguza huyo mwanaume kwa umakini kabla ajamuonjesha utamu.

Ingawa mabaharia wa siku hz hawachunguziki
 
Nyie mabaharia wa siku hizi ni vigeu geu,...

Tunaweza jiweka kama wife material lkn bhn wee kumbe vichwani kwenu mnawaza tofauti kabisa, ule na usepe bs

Cha muhimu yeye aangalie na kumchunguza huyo mwanaume kwa umakini kabla ajamuonjesha utamu.

Ingawa mabaharia wa siku hz hawachunguziki
ha ha ha jaribu kuvaa mavazi mazuri ya umama,na tabia pia iwe nzuri,na uwe mchangamfu/unacheka na kila mtu na usiwe mwepesi wa kukasirika,hapo lazima ndoa uione.
 
Back
Top Bottom