Swali: Matumizi ya condom kwako yapoje?

Swali: Matumizi ya condom kwako yapoje?

Condom inabana inafanya damu isizunguke dushe inalala.. Naogopa ngoma ila siwez kutumia condom
 
Kwani kupima virusi sh ngapi? Me condomu situmii bora punyeto
My friend nakuona hapo kwa dp
Umeamua kutuwekea picha yako
Kumbe una chura ee?! Aha hhaha mzima lkn?!
Vp matumizi ya vipelevipele kwako yapoje?!
Lete ushuhuda plz
 
Bonge moja la video track though kabla Bobby hajaanza kula mibangi!

".......I can do it soft or I can do it hard
I can make you scream if you let down your guard my baby
It's not too far from here to extasy
I know you want good lovin
So lay your body next to me...."

Good Enough - Bobby Brown!
Meona ee
Noma sana
 
Sio uchafu mdada, hiv ni wanaume wachache sana ambao tunavyo. Huwa vinakuwa pembeni mwa kichwa cha mshedede. Haviumi wala kutumbuka, viko hivyo hvyo, mimi vyangu niliviona baada ya kupona after kutahiriwa
Kiru ndoroooboee
We Kichaafulani njoo msaidie mwenzio hukuu
 
Daaa mm huwa nikivaa tu ikifika kwenye shina la dushe, network inakata on the spot na haipandi tena otherwise nikaoshe na sabuni yale mafutamafuta yatoke. So kutokana na hili tatizo basi mm ni accapela tu. Na imenisababisha niwe na adabu na mwaminifu sana. Nikiwa na girlfriend ni huyo mmoja tu.si mke maana mke ninaye wa pamanent
 
zipoje mkuu?
20180305_094209.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom