Swali: Matumizi ya condom kwako yapoje?

Swali: Matumizi ya condom kwako yapoje?

Read between lines.

Mbali na kuwa tangazo,
Nimeona mstari mmoja tu unaohusu kuzuia kale kaharufu kabaya.

Matumizi ya condom yamegeuka sasa sio yale ya kuzuia STD.

Bali ni kuzuia kaharufu na kuongeza radha ya mapenzi kama inavyopigiwa promo.
Habari ndo iyo
Vepe vipele watumia au
 
Hili ni tangazo la stori zake,tatizo watu hamuelewi kaka.
See the bigger picture.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Stori ishasomwa sana humu MMU nilikuwa na-reffer
Wewe jibu swali watumia condom gan tupe eperience yako plz
 
Kiongozi.

Hiyo NGOMA kitambo sana.

Ngoma hiyo ilikuwa inatamba na Kibao cha JIDE cha kuitwa MACHOZI, pamoja na Ngoma ya Nigga J (Profesa J),

Jina langu linavuma, kwenye MITAA...

Jina langu lina hadhi kisupastaa...
Wkt huo bongo fleva ndo ilikuwa inaanza kuchipua
 
Hili ni tangazo la stori zake,tatizo watu hamuelewi kaka.
See the bigger picture.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Word up SON...

It's time to blow, stack that DOUGH create a better LIFE for me and my FAMILY...

You know what I mean...

I've seen the GHETTO all my LIFE...

It's time I see some different...

HAHAAA, Yeah...

Get the PICTURE...

The Big PICTURE...


 
Bonge moja la video track though kabla Bobby hajaanza kula mibangi!

".......I can do it soft or I can do it hard
I can make you scream if you let down your guard my baby
It's not too far from here to extasy
I know you want good lovin
So lay your body next to me...."

Good Enough - Bobby Brown!
 
Doh we mchafu
Sio uchafu mdada, hiv ni wanaume wachache sana ambao tunavyo. Huwa vinakuwa pembeni mwa kichwa cha mshedede. Haviumi wala kutumbuka, viko hivyo hvyo, mimi vyangu niliviona baada ya kupona after kutahiriwa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom