Wana JF,
Naomba kwa wale wenye ufahamu wanisaidie hili swali langu muhimu sana. JE KATIBA YETU YA TANZANIA INASEMAJE KUHUSU NAFASI NA MAJUKUMU YA FAMILIA YA RAIS WA NCHI YETU katika shughuli za Serikali. Nimeuliza hili swali kwasababu katika kipindi hiki cha Rais Kikwete, kumekuwa na safari nyingi sana za Mke wake-Salma (ndani na nje ya nchi) na mtoto wake Ridhiwani. Je, hizi ziara zote zinalipiwa na nani?
Kwani Mama Salma anapokwenda Mikoani amekuwa akipokelewa na uongozi wa Mkoa/Wilaya husika na mara nyingi anasomewa taarifa za kimaendeleo ya Mkoa au wilaya husika, sasa swali langu ni Je, nini nafasi ya First Lady katika katiba yetu. Pia hizi ziara za First Lady nazo zimekuwa nyingi sana, mara yuko huku leo kesho kule, Je gharama hizi zote zinalipwa katika bajeti ipi? Pia hata zile ahadi nyingi sana za pesa Taaslimu zinatoka katika bajeti ipi?
kuhusu Ridhiwani, pia naomba kufahamu jenini nafasi yake katika Katiba yetu, kwani utasikia mara ameitwa Magu kwenye Harambee, je zile ahadi anazotoa kama kununua tenki la maji pesa ni za kwake au? na je mualiko wake unakuwa kama wa Ridhiwani au kama mtoto wa Rais? Na kama mwaliko ni wa mtoto wa Rais, je gharama za safari na Pe rdierm zinalipwa na nani?
CHONDE CHONDE NAOMBA WENYE UELEWA KATIKA HAYO MAMBO AYAWEKE HAPA TUYAJADILI, Kwani hata Marais wote waliopita walikuwa na Familia zao lakini sina kumbukumbu kama nao familia zao zilikuwa na ziara kama hii Familia ya sasa, ndiyo maana NAULIZA, NINI NAFASI NA MAJUKUMU YA FIRST LADY NA WATOTO WA RAIS KATIKA KATIBA YETU YA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA?
C
Naomba kwa wale wenye ufahamu wanisaidie hili swali langu muhimu sana. JE KATIBA YETU YA TANZANIA INASEMAJE KUHUSU NAFASI NA MAJUKUMU YA FAMILIA YA RAIS WA NCHI YETU katika shughuli za Serikali. Nimeuliza hili swali kwasababu katika kipindi hiki cha Rais Kikwete, kumekuwa na safari nyingi sana za Mke wake-Salma (ndani na nje ya nchi) na mtoto wake Ridhiwani. Je, hizi ziara zote zinalipiwa na nani?
Kwani Mama Salma anapokwenda Mikoani amekuwa akipokelewa na uongozi wa Mkoa/Wilaya husika na mara nyingi anasomewa taarifa za kimaendeleo ya Mkoa au wilaya husika, sasa swali langu ni Je, nini nafasi ya First Lady katika katiba yetu. Pia hizi ziara za First Lady nazo zimekuwa nyingi sana, mara yuko huku leo kesho kule, Je gharama hizi zote zinalipwa katika bajeti ipi? Pia hata zile ahadi nyingi sana za pesa Taaslimu zinatoka katika bajeti ipi?
kuhusu Ridhiwani, pia naomba kufahamu jenini nafasi yake katika Katiba yetu, kwani utasikia mara ameitwa Magu kwenye Harambee, je zile ahadi anazotoa kama kununua tenki la maji pesa ni za kwake au? na je mualiko wake unakuwa kama wa Ridhiwani au kama mtoto wa Rais? Na kama mwaliko ni wa mtoto wa Rais, je gharama za safari na Pe rdierm zinalipwa na nani?
CHONDE CHONDE NAOMBA WENYE UELEWA KATIKA HAYO MAMBO AYAWEKE HAPA TUYAJADILI, Kwani hata Marais wote waliopita walikuwa na Familia zao lakini sina kumbukumbu kama nao familia zao zilikuwa na ziara kama hii Familia ya sasa, ndiyo maana NAULIZA, NINI NAFASI NA MAJUKUMU YA FIRST LADY NA WATOTO WA RAIS KATIKA KATIBA YETU YA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA?
C