Camp Gilgal
JF-Expert Member
- Dec 13, 2014
- 4,453
- 4,594
Mkuu tukumbuke pia karama za watumishi zinatofautiana, ndio maana utakuja kuona kuwa Mtu kama TB Joshua anatembelewa na watu wengi japokuwa wana madhehebu yao ili kupata suluhisho la kile wanachokitafuta ... Tunajua ana deal zaidi na Prophecy, sio ajabu walikwenda kutafuta unabii juu ya maisha yao ... Pengine ni kwa sababu may be alikosekana mtu wa kuwapa direction ktk madhehebu yao ... Nakumbuka ktk biblia watu wa kawaida, na hata wafalme wa kipagani walikwenda Samaria kutafuta UNABII kwa nabii Elisha ... Sio jambo geni km unapitia maandiko.Sijui kama Slaa anasali kwa Gwajima..nimeuliza baada ya kuona picha za Lowassa na Magufuli kwa TB Joshuahalafu tunaambiwa ni RC na Lutheran...nilifikiri ni walokole