MILL8
JF-Expert Member
- Aug 27, 2015
- 1,837
- 857
- Thread starter
- #21
Salam zimefikaMwambie samia kuwa Joyce Banda alipoapishwa kuwa Rais baada ya kifo cha Mutharika wengi walipata matumaini, lakini alibadilika,alianza kutumia jinsia yake kupata uhalali wa kisiasa, alitesa wapinzani na 2014 akashindwa uchaguzi akakimbia nchi huku waziri wake aliyetumika kuwatesa wapinzani akijiuwa