thebosskissima
Member
- May 22, 2017
- 65
- 298
Ungefanyaje? We upo home unaish na wazazi na dada yako sasa dem wako anakwambia bwana nataka nije kwenu alaf ukichek home msala kwa wazaz sasa unampanga dada ako kwamba awadanganye wazaz kama atakuja rafik yake (dem wako) atakaa home kwenu kama wiki 1.
Kwel dem anakuja alafu nyt anakuja kulala chumban kwako bila wazaz kujua mpaka wiki inaisha anaondoka hom wakijua rafik wa dada ako sasa baada ya siku mbili dadaako nae anakwambia ana bwana ake anataka kuja nawe ujifanye rafiki yako alaf usiku kama kawa anaingia geto kwa sista!
Ungekubali?
Kwel dem anakuja alafu nyt anakuja kulala chumban kwako bila wazaz kujua mpaka wiki inaisha anaondoka hom wakijua rafik wa dada ako sasa baada ya siku mbili dadaako nae anakwambia ana bwana ake anataka kuja nawe ujifanye rafiki yako alaf usiku kama kawa anaingia geto kwa sista!
Ungekubali?