Tayana-wog
JF-Expert Member
- Feb 26, 2012
- 23,264
- 26,809
AiseeKukupandisha mlima kilimanjaro.
AiseeKukupandisha mlima kilimanjaro.
PovuHivi mtu mpaka anauliza hili swali huwa anawaza kitu gani haswa?? Yaani umekaa ukafikiria ukaja kuuliza swali ambalo majibu yake unayo
Mwanamke ana mengi ya kutoa kuliko hata wewe mwanaume… kwanza waulizaji wengi humu ni single( hawajaoa).. waliooa wanajua nini wanapata kwa wake zao zaidi ya papuchi…
Kuna mmoja huko kwenye nyuzi kasema kama wanawake wanawapa ushaurii basi hata mbuzi anaweza kutoa ushaurii… kwanini sasa usianzishe mahusiano na mbuzi akupe ushauri ukatafuta mwanamke
Hilo swali limekaa kimtego sana ni kama mnataka na nyie muanze kupewa matumizii muachiwe pesa ya mboga
Kwani ninyi wanaume mnakitu gani cha kuoffer zAidi ya pesaa???
Na Kama ni pesa wapo wanawake wanahonga wanaume sana tu, Je na hao mnataka wawape na kipi zaidi
Msichokijua ni kwamba asilimia 90 ndani ya Ndoa wanawake wanajihudumia wenyewe… wanaume wa siku hizi hawajui wajibu wao… wanaoa wanatelekeza wanawake
Yeye akiacha hela ya mboga ndio kamaliza…. Hajui mkewe anapaka mafuta gani chupi zake zimeishaa au hana nguo na mpaka aambiwe
Hivi unamuoa mtu unajua hana kazi ulitegemea avae kwa hela ganii au matumizi yake madogo madogo…
Hamjiulizi kwanini wanawake wengi siku hzi wanacheza mavikoba mpk kausha damu ili tu waweze kuhudumia familia zao
Kina Zamaradi wanakopa mpk ma benk ili kujihudumia
Sisi wanawake tuna vingi vya kuwaoffer kuliko ninyi wanaume
Hebu nipeni jibu
Wanaume mnanini cha kuoffer kwa mwanamke zaidi ya pesa???
wanawake ni hicho tu mnatoa, labda kama ni kwenye ndoa hapo ndio mnaweza kuwa na kitu, ila ninyi mnafakamiana kama kuku, you have nothing to offer zaidi ya sehemu za siri. wakiondoa hizo msingekuwa na lolote.Hivi mtu mpaka anauliza hili swali huwa anawaza kitu gani haswa?? Yaani umekaa ukafikiria ukaja kuuliza swali ambalo majibu yake unayo
Mwanamke ana mengi ya kutoa kuliko hata wewe mwanaume… kwanza waulizaji wengi humu ni single( hawajaoa).. waliooa wanajua nini wanapata kwa wake zao zaidi ya papuchi…
Kuna mmoja huko kwenye nyuzi kasema kama wanawake wanawapa ushaurii basi hata mbuzi anaweza kutoa ushaurii… kwanini sasa usianzishe mahusiano na mbuzi akupe ushauri ukatafuta mwanamke
Hilo swali limekaa kimtego sana ni kama mnataka na nyie muanze kupewa matumizii muachiwe pesa ya mboga
Kwani ninyi wanaume mnakitu gani cha kuoffer zAidi ya pesaa???
Na Kama ni pesa wapo wanawake wanahonga wanaume sana tu, Je na hao mnataka wawape na kipi zaidi
Msichokijua ni kwamba asilimia 90 ndani ya Ndoa wanawake wanajihudumia wenyewe… wanaume wa siku hizi hawajui wajibu wao… wanaoa wanatelekeza wanawake
Yeye akiacha hela ya mboga ndio kamaliza…. Hajui mkewe anapaka mafuta gani chupi zake zimeishaa au hana nguo na mpaka aambiwe
Hivi unamuoa mtu unajua hana kazi ulitegemea avae kwa hela ganii au matumizi yake madogo madogo…
Hamjiulizi kwanini wanawake wengi siku hzi wanacheza mavikoba mpk kausha damu ili tu waweze kuhudumia familia zao
Kina Zamaradi wanakopa mpk ma benk ili kujihudumia
Sisi wanawake tuna vingi vya kuwaoffer kuliko ninyi wanaume
Hebu nipeni jibu
Wanaume mnanini cha kuoffer kwa mwanamke zaidi ya pesa???
Mbona waguna?? Hio ndio basic kwenye mahusiano lakiniAisee
Unfortunately wanaiweza ni wachache,wengi wabinafsi,hawana muda huo!Mbona waguna?? Hio ndio basic kwenye mahusiano lakini
Maisha ya mahusiano ya sasa na ya zamani ni tofauti.Ndio hela zao ni kama zinawauma wanataka tuzirudishee
Kama wanataka kuhongwa mbona wanawake kibao wanahongaa mpk nyumba
Kina zari, kina Zamaradi kina Diva
Jamani wanawake wanaohonga wapo tuacheni sisi tusio na hela za kuwahonga sio kutuuliza maswali ya kipuuzi hivi
Si mnataka haki ziwe sawa ama 50/50.sijui na sisi wanataka tuanze kuwahonga
Yah..uko sahihiHuu mjadala kuumaliza ni ngumu
Kimsingi tumeumbwa kutegemeana
Mwanamke ni chombo Cha starehe.Hivi mtu mpaka anauliza hili swali huwa anawaza kitu gani haswa?? Yaani umekaa ukafikiria ukaja kuuliza swali ambalo majibu yake unayo
Mwanamke ana mengi ya kutoa kuliko hata wewe mwanaume… kwanza waulizaji wengi humu ni single( hawajaoa).. waliooa wanajua nini wanapata kwa wake zao zaidi ya papuchi…
Kuna mmoja huko kwenye nyuzi kasema kama wanawake wanawapa ushaurii basi hata mbuzi anaweza kutoa ushaurii… kwanini sasa usianzishe mahusiano na mbuzi akupe ushauri ukatafuta mwanamke
Hilo swali limekaa kimtego sana ni kama mnataka na nyie muanze kupewa matumizii muachiwe pesa ya mboga
Kwani ninyi wanaume mnakitu gani cha kuoffer zAidi ya pesaa???
Na Kama ni pesa wapo wanawake wanahonga wanaume sana tu, Je na hao mnataka wawape na kipi zaidi
Msichokijua ni kwamba asilimia 90 ndani ya Ndoa wanawake wanajihudumia wenyewe… wanaume wa siku hizi hawajui wajibu wao… wanaoa wanatelekeza wanawake
Yeye akiacha hela ya mboga ndio kamaliza…. Hajui mkewe anapaka mafuta gani chupi zake zimeishaa au hana nguo na mpaka aambiwe
Hivi unamuoa mtu unajua hana kazi ulitegemea avae kwa hela ganii au matumizi yake madogo madogo…
Hamjiulizi kwanini wanawake wengi siku hzi wanacheza mavikoba mpk kausha damu ili tu waweze kuhudumia familia zao
Kina Zamaradi wanakopa mpk ma benk ili kujihudumia
Sisi wanawake tuna vingi vya kuwaoffer kuliko ninyi wanaume
Hebu nipeni jibu
Wanaume mnanini cha kuoffer kwa mwanamke zaidi ya pesa???
Wana tupa Starehe Hilo analijua vizuri sana.Nilitegemea utataja vitu mnaoffer ila umeishia kutaja vitu gani mnaexpect kuwa offered
Maisha ya mahusiano ya sasa na ya zamani ni tofauti.
Maisha ya mahusiano ya zamani yalikuwa ni kutegemeana haimanishi mwanamke alikuwa anahudumia familia hapana iko hivi.
Baba ameenda kwenye mihangaiko baba ameacha unga, mama atachuma mrenda atapika. Baba akija atakula ugali na mrenda.
Shambani wote wanajukumu la kwenda kuliangalia, baba asipoenda basi mama ataenda. Pesa ilikuwa ina umuhimu ila siyo kigezo cha baba na mama kudumu kwenye ndoa.
Utakuta mama na yeye, ameanzisha bustani anauza mboga, anasaidia familia kwenye mahitaji madogo madogo ila alikuwa siyo tegemezi. Kama wote ni wafanyakazi wanasaidiana huku wakijua kuwa familia hii ni ya wote tunajukumu la kuitunza. Ndiyo maana mali na pesa ilikuwa siyo kipaumbele kwenye suala la kuingia kwenye ndoa. Hata baba akiyumba kiuchumi, mama anashikilia usukani familia inaenda naye baba anajitafuta. Baba akiumwa, mama atahangaika kutafuta dawa ili baba apone hata kwa mitishamba. Mwanamke alikuwa ni mwanamke kweli.
Kwa kizazi cha sasa, mwanamke amekuwa mbinafsi, roho mbaya, amejaa na tamaa ya mali na pesa. Ukienda kumtongoza anakuangalia mavazi kwanza aone kama una hela, akiona umevaa nguo haeleweki anakuangalia chini mpaka juu. Ukimpeleka unapoishi, mwanamke anataka chips mayai na mishikaki. Kwa mfano akute umepika makande dharau zinakuwa nyingi.
Wanawake wa sasa wanategemea kwa kila kitu yaani hata kama anakazi, hawezi kutoa hela yake kukusaidia hata kama umekwama. Anakuuliza kwani ulinilipia ada wewe?
Umeme ukikatika hata kama mwanamke anahela hawezi kununua umeme, hawezi kukupa mawazo yoyote ya kukujenga. Yupo yupo tu hawezi kukushauri. Imekuwa 50 kwa 50, wanawake wanashindana na wanaume. Ukicheat naye anacheat.
Sasa hivi kama hauna hela haupendwi na mwanamke. Pesa imekuwa kipaumbele kwa kila kitu kwenye mahusiano. Upo naye kwenye mahusiano, akikuomba hela ukimwambia hauna basi ananuna.
Tunaishi kwenye ulimwengu mgumu sana wa wanawake kuwa wabinafsi sana.Umenena vyema mkuu
Hawa wanawake bana,zaid ya sex kufua kupika kutuzalia wanatakiwa kuadd value kwnye maisha yetu…hizo sex znapatkana popote
Mm bana galfrend wangu nmemuomba vocha ya jero hii n wiki ya pili,kila mara nkiongea nae namtania mbna hutumi ile vocha ila hashtuki hajiongez anajichekesha…kumbe mm nafanya vipimo vyangu
Siku nyngne nkamwambia sina lesso naomba uninunulie ukiziona huko,na anaona kabisa nna lesso3 had na leo kimya
Huwa namhudumia na kumsaidia mambo yake,na sio kuwa sina hela ya kununua leso ya 1000 n vile wakat mwngne tunapima hawa watu kama wana ule moyo wa kubring back.
Hiki n kizaz cha hovyo,mambo yanachanganyana….stay tu pale aman ya moyo wako inapokuwepo
Swali ni mwanamke anatoa Nini?Hivi mtu mpaka anauliza hili swali huwa anawaza kitu gani haswa?? Yaani umekaa ukafikiria ukaja kuuliza swali ambalo majibu yake unayo
Mwanamke ana mengi ya kutoa kuliko hata wewe mwanaume… kwanza waulizaji wengi humu ni single( hawajaoa).. waliooa wanajua nini wanapata kwa wake zao zaidi ya papuchi…
Kuna mmoja huko kwenye nyuzi kasema kama wanawake wanawapa ushaurii basi hata mbuzi anaweza kutoa ushaurii… kwanini sasa usianzishe mahusiano na mbuzi akupe ushauri ukatafuta mwanamke
Hilo swali limekaa kimtego sana ni kama mnataka na nyie muanze kupewa matumizii muachiwe pesa ya mboga
Kwani ninyi wanaume mnakitu gani cha kuoffer zAidi ya pesaa???
Na Kama ni pesa wapo wanawake wanahonga wanaume sana tu, Je na hao mnataka wawape na kipi zaidi
Msichokijua ni kwamba asilimia 90 ndani ya Ndoa wanawake wanajihudumia wenyewe… wanaume wa siku hizi hawajui wajibu wao… wanaoa wanatelekeza wanawake
Yeye akiacha hela ya mboga ndio kamaliza…. Hajui mkewe anapaka mafuta gani chupi zake zimeishaa au hana nguo na mpaka aambiwe
Hivi unamuoa mtu unajua hana kazi ulitegemea avae kwa hela ganii au matumizi yake madogo madogo…
Hamjiulizi kwanini wanawake wengi siku hzi wanacheza mavikoba mpk kausha damu ili tu waweze kuhudumia familia zao
Kina Zamaradi wanakopa mpk ma benk ili kujihudumia
Sisi wanawake tuna vingi vya kuwaoffer kuliko ninyi wanaume
Hebu nipeni jibu
Wanaume mnanini cha kuoffer kwa mwanamke zaidi ya pesa???
Na wote tuseme ameen na uzi ufungwe.Most times hua nikisoma comments humu naamini 95% ya watu wanaotoa controversial ideas, wao hawa practice what they say. Possibility n kubwa wengi wa "kataa ndoa" wameoa au wana wapenzi but wako na frustrations mob humo ndani ya mahusiano yao.
Iko wazi kuwa in this life, a woman is not all about sex. Wanawake wana mchango mwingi sana but shida n kwamba tunafanya quantification kwenye material things kama hela n.k.
Personaly sikubaliani na kukataa ndoa maana najua kbsa gap ambayo mwanamke wangu anacover kwenye life yangu.
Chimbuko la hili tatizo ni wanaume wengi kukosa msingi wa kiume kwaio wanakua kama wavulana. Hawajui majukumu yao n.k.
Kama mwanaume, kumhudumia mkeo na familia ni kitu cha ufahari na sio suala la kulia lia na kulalamika.
Its jus that un-matured boys, wanakutana na un-matured girls wanaishia kuleta maneno ya kudang dang kama kangaroo.
Swali kubwa la kujiuliza n kwamba, hao wanao support kukataa ndoa, mara kupiga na kuacha e.tc, wanapozaa watoto wa kike, what future do they expect watoto wao wapate?
NA wengi wao n vijana wadogo wa early 20s ambao bado hawajui maisha. Wengi wao ni KKB(KUla, kulala, kunya bure)