Eiyer
JF-Expert Member
- Apr 17, 2011
- 28,259
- 20,914
Ni muda tu mfupi uliopita hapa "kijiweni" zimepita gari mbili zimepambwa huku honi zikipigwa nikajiuliza ni kitu gani hiki ndo jamaa yangu akaniambia ni harusi hiyo
'
Nikashangaa kisha nikajiuliza maswali
'
Hivi watu wakioana ni lazima wapite barabarani wakipiga makelele?
'
Ni kitu gani kinawafa watu wapige makelele kwenye misafara ya harusi?
'
Kuna mabilioni ya watu walishafunga ndoa sasa cha ajabu nini
'
Hivi kuoana ni jambo la ajabu kiasi hiki?
'
Nikashangaa kisha nikajiuliza maswali
'
Hivi watu wakioana ni lazima wapite barabarani wakipiga makelele?
'
Ni kitu gani kinawafa watu wapige makelele kwenye misafara ya harusi?
'
Kuna mabilioni ya watu walishafunga ndoa sasa cha ajabu nini
'
Hivi kuoana ni jambo la ajabu kiasi hiki?