CAG Prof. Assad amlipua Magufuli.Mbowe ni Political Entrepreneur.Kakutana na mazuzu anayaendesha kama gari bovu.
Prof.Assad amehojiwa na idhaa ya Kiswahili ya UN, na kutoa madai kwamba Tanzania kuna tatizo la "POLITICAL ENTREPRENEURSHIP."
Anadai watu wanaendekeza faida binafsi ktk maamuzi yao wakiwa madarakani.
Amekwenda mbali na kusema ule mradi wa MAGUFULI wa kuuza NYUMBA ZA SERIKALI ni mfano wa "POLITICAL ENTREPRENEURSHIP."
Huo mfumo utawekwa na UKAWA, Rasimu ya Warioba ndio ina majibu yote na kama vipaumbele vya UKAWA visemavyo 1. Elimu 2.Elimu 3.Elimu 4. Low and order.
Na. M. M. Mwanakijiji
Cha kusikitisha ni kuwa wao wenyewe hawajui au hawataki kujua, hawaamini au hawataki kuamini kuwa tayari mabadiliko yameshatokea; mabadiliko ambayo yamewabadilisha wao. Kama watu wenye akili timamu walishapata mgombea wao wa Urais, wakampitisha na kumthibitisha halafu wiki chache baadaye wakaenda kumchukua mgombea toka CCM na hivyo wakamtupa mgombea wao wenyewe, tena si mtu baki tu Katibu wao Mkuu wa chama, watu hawa hawa wanaweza vipi kuja na kusema ati wanataka "mabadiliko"? Yaani, watu waliobadilika wanataka kubadilika tena? Waweje?
Vinyonga wa kisiasa?
Fikiria.
MMM
Yawezekana ni kweli usemayo juu ya wagombea hao wawili lakini kwangu mimi naamini kuwa Mungu ana sababu ya kumleta EL Ukawa, hao wabunge wengi unaosema watapatikana kwa sababu yake kwa namna fulani na baadaye vyama vita balance kwa maana ya nguvu za kuwa na uwezo wa kukamata dola wakati wa uchaguzi na wakati huo EL atakuwa amestaafu pengine baada ya miaka 5 ijayo.
Huoni kuwa atakuwa amechangia kuleta mabadiliko? Baada ya hapo kwa mpango wa Mungu atatokea kiongozi mwingine jasiri wa kutupeleka mbele zaidi.
Mkuu unataka kufanya siasa iwe kama dini sasa kuamini tuuuuuuu ilimradi ni imani. Lkn hata dini imeshasema imani bila matendo imekufa. Imani yako wewe ya hayo mabadiliko haina utendaji, imejaa nadharia tupu ndio maana unataka watu waendelee kutheorize milele na kuweka wagombea watakaowafanya wawe second-best siku zote.
Ktk Tanzania hii ya leo ni wewe na wenzako wachache ndio hawataki mabadiliko. Hata chama twawala nacho kinataka mabadiliko ndio maana wanasema Magufuli for change. Wamepuuza hata mbwembwe za Humphrey Polepole za kuleta misamiati ya mageuzi badala ya mabadiliko.
Kwa kuwa hakuna mabadiliko zaidi ya kupitishwa kwa katiba mpya ya wananchi, na kama kupigia kura UKAWA tarehe 25 Oktoba 2015 ni kupigia katiba ya wananchi na marupurupu yake, naam na ije siku hiyo haraka ili kupigia mabadiliko
Mbowe ni Political Entrepreneur.Kakutana na mazuzu anayaendesha kama gari bovu.
Na mimi nimeweka Like kama kumbukumbu.Tanzania kamwe haiwezi kutawaliwa na chama kingine zaidi ya CCM.
CCM itatawala milele.
Anayebisha na alinakili hili bandiko langu kama rejea ya baadaye.
Narudia tena, CCM itatawala milele.
Nini kinakufanya usifikiri kinyume chake?1. Nini kinakufanya ufikiri Lowasa kapelekwa Ukawa na Mungu?
2. Nini kinakufanya ufikiri Lowasa atastaafu baada ya miaka mitano?
3. Nini kinakufanya uamini kuwa Lowasa atapitisha hiyo katiba unayoisema?
Huyu Mwanakijiji anaonekana ni mtu wa kupishana na hali halisi siku zote. Hata mwaka 2005 alikuwa kinara hapa wa kumkubali na kumnadi Kikwete na wanao ona mbali walimuambia anakosea na kuwa hakuna jipya lolote litakalo tokea zaidi ya shida. Leo miaka kumi baadae anarudia kosa lile lile.
Tanzania kamwe haiwezi kutawaliwa na chama kingine zaidi ya CCM.
CCM itatawala milele.
Anayebisha na alinakili hili bandiko langu kama rejea ya baadaye.
Narudia tena, CCM itatawala milele.