Swali la ugomvi: Mnataka vipi mabadiliko wakati tayari mmebadilika?

Mkuu unataka kufanya siasa iwe kama dini sasa kuamini tuuuuuuu ilimradi ni imani. Lkn hata dini imeshasema imani bila matendo imekufa. Imani yako wewe ya hayo mabadiliko haina utendaji, imejaa nadharia tupu ndio maana unataka watu waendelee kutheorize milele na kuweka wagombea watakaowafanya wawe second-best siku zote.

Ktk Tanzania hii ya leo ni wewe na wenzako wachache ndio hawataki mabadiliko. Hata chama twawala nacho kinataka mabadiliko ndio maana wanasema Magufuli for change. Wamepuuza hata mbwembwe za Humphrey Polepole za kuleta misamiati ya mageuzi badala ya mabadiliko.

Kwa kuwa hakuna mabadiliko zaidi ya kupitishwa kwa katiba mpya wa wananchi, na kama kupigia kura UKAWA tarehe 25 Oktoba 2015 ni kupigia katiba ya wananchi na marupurupu yake, naam na ije siku hiyo haraka ili kupigia mabadiliko
 
Ndio maana mwisho wa siku jibu lao ni "kuitoa tu CCM madarakani mengine baadaye". Kumbe wakati huo huo wamechukua CCM, mgombea wa CCM na wanachama wa CCM wenye kumuunga mkono mwana CCM mwenzao ambao waliapa kuwa "alipo" na wao "wapo"!

Wenzetu mnaoimba na kushabikia "mabadiliko" yajayo, hivi hamjioni kuwa tayari mmebadilika? Vinyonga wa kisiasa?

Fikiria.

MMM

Ndugu yangu pole na kuwa na mawazo mgando. Umeshindwa kuwa "Progressive" wewe kila siku ni mawazo ya'Ugomvi' au 'Uchokozi'. Watu wanatambua kuwa Lowassa na akina Ulipo tupo sio malaika.

Hivyo toa michango INAYOJENGA acha kuwa mnadharia, wakati wananchi wanakosa elimu na bado wakufa kwa kukosa maji safi halafu watu wajichukulia hela za Escrow kwa Lumbesa. Wewe unaweletea ngonjera.

Wewe hili dubwasha chaka la majambazi utalitoa vipi na mirija ya kunyonya damu, iliyojichimbia miaka na miaka bila kuwa tumia CCM wenyewe?

 
Lowasa ana matatizo yake kama mtu ;
CCM inamatatizo yake kama mfumo ;Ni rahisi mfumo ukambadilisha mtu na siyo mtu akabadili mfumo..CCM imeoza.MM haueleweki umepotea .....2005 ulimtetea sana JK ona tulivyochoka!
 
Ndugu yangu pole na kuwa na mawazo mgando. Umeshindwa kuwa "Progressive" wewe kila siku ni mawazo ya'Ugomvi' au 'Uchokozi'. Watu wanatambua kuwa Lowassa na akina Ulipo tupo sio malaika.

Hivyo toa michango INAYOJENGA acha kuwa mnadharia, wakati wananchi wanakosa elimu na bado wakufa kwa kukosa maji safi halafu watu wajichukulia hela za Escrow kwa Lumbesa. Wewe unaweletea ngonjera.

Wewe hili dubwasha chaka la majambazi utalitoa vipi na mirija ya kunyonya damu, iliyojichimbia miaka na miaka bila kuwa tumia CCM wenyewe?


Hivi unaamini kuna mabadiliko yoyote toka kwa Lowassa na watu wake aliotoka nao ccm.?

Labda mabadiliko ya kubadili Jina la Chama kutoka ccm kwenda Chadema.!
 
ulishaambiwa tulibadili gia angani, umekomaa tu. huyo uliyemtaka tushamtema,ni kigeugeu na ameshikwa masikio na mchumbake. tarehe 25 October kura ni Lowassa. endelea kuandika hadithi zako za abunuwasi.
 
Hajawahi kusema atastaafu baada ya miaka mitano au kuweka katiba ya wananchi. Ni watu tu mnamsemea.

Kama ndio kweli basi wewe u zaidi ya mkewe,yaani una sifa zinazokaribiana na Mungu kuweza kutambua kuwa "mtu hajawahi kusema" neno fulani
 
Mwanakijiji tuache bwana, wewe sio mwenzetu tena!

Tuache tufanye mabadiliko tunayotaka ndio uongee baada ya hayo mabadiliko! Yakishindwa ndio useme mabadiliko yameshindwa! lakini kwa sasa sijui unatumia kigezo gani kusema hawa watu hawataleta mabadiliko! Ilani ya uchaguzi ni mkataba baina ya chama na wapiga kura. na kwenye ilani mbadiliko tunayohubri ndiyo yatatekelezwa. sasa wewe km umeamua kuwa yahya husein kusema mabailiko hayatafanikiwa then that is your proble.

Subiri uone hayo mabadiliko acha utabiri wa kizamni! Roho inakuuma sana unaona mambo yanakwenda vizuri na wewe na |Slaa wako mmekuwa irrelevant! Vipi ulikuwa unapata kula yako kwa chadema kuwa chama kidfogo cha upinzani nini? Please give us a break! kwa vyovhyote vile siasa ya mwaka huu haijawahi kutokea Tanzania na Tanzania will never be the same!

Huu ndio ushindani tuliotaka tuuone sio nyie wacghache mlikuwa mnafaidi kutuhuburia theory zenu ziszo na mashiko wakati sisi wanyionge tunateseka!
 
Tetesi za kwamba ulizaa na Josephine katoto kanakoitwa Slaa Jr zinazidi kupata ukweli. Hii ni kutokana na tabia yako ya kulia lia baada ya Josephine kukosa u first lady.

Mungu wetu ni mkuu na mwaminifu kwetu, kiasi cha kutubadilishia mgombea... Kwa akili za binadamu isingekuwa rahisi. Mungu alijua Josephine angeinajisi Ikulu...

Asante Mungu kwa kutuongoza vyema..... Lowassa for presidency
 
Poor analysis. Kwani huyu Katibu mkuu alitoka wapi? Sio CCM? Sasa ana tofauti gani na hawa watanzania wengine waliojiunga na CHADEMA sasa? Lowasa kwa sasa ni mwanachama wa CHADEMA na kadi alipewa mbele ya macho ya watu wote. Ana haki ya kugombea urais kwa mujibu wa katiba ya CHADEMA na ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Mabadiliko yanatakiwa ni kuitoa CCM na mfumo wake madarakani. Kama hujakubali hulazimishwi, wengine wamestaafu siasa. Hii ni demokrasia.

Alitoka ccm akiwa nani? Ametoka na kashfa IPI?
 
Tetesi za kwamba ulizaa na Josephine katoto kanakoitwa Slaa Jr zinazidi kupata ukweli. Hii ni kutokana na tabia yako ya kulia lia baada ya Josephine kukosa u first lady.

Mungu wetu ni mkuu na mwaminifu kwetu, kiasi cha kutubadilishia mgombea... Kwa akili za binadamu isingekuwa rahisi. Mungu alijua Josephine angeinajisi Ikulu...

Asante Mungu kwa kutuongoza vyema..... Lowassa for presidency

Acha chuki na polojo kipindi hiki
 
Ndiyo tatizo la myopic wote, huyu MMM aliwekeze mabadiliko yake kwa MTU!

Wenzako tunaona mbali ya urefu wa pua zetu tumewekeza mabadiliko yetu kwenye MFUMO.

BTW, huyo mtu wako uliyewekeza mabadiliko yako naye alitoka CCM.

Lakini Je, ulishawahi kujiuliza siku akifa huyu mtu wako itakuwaje? au Ndiyo na wewe utakuwa sawa na wale watemi wa zamani wakizikwa na mtu hai huku ameshikilia maiti ya mtemi.

Wewe endelea kushikilia maiti ya mtu wako uliyewekeza mabadiliko. October 25, tutakuzika na maiti ya mtu wako mikononi kama wale watemi wa zamani!

You can take MMM out of the bush, but you can not take the bush out of him (MMM)!

I beg to rest.
 
Back
Top Bottom