Swali la Nape kwangu nilikosa jibu!

Swali la Nape kwangu nilikosa jibu!

tamimusalim

JF-Expert Member
Joined
Jun 17, 2014
Posts
1,822
Reaction score
499
Jana nashukuru baada ya hotuba ya Freeman Mbowe kumalizika, nilikutana na katibu CCM itikadi na uenezi, kama kawaida hakosagi neno, sambamba na utani wake kwangu, akaniuliza"

" Tumemsikia Freeman Mbowe akisema malaika kama utamwingiza ndani ya CCM baada ya mwezi tu hubadikika na kuwa shetani,!! Sasa iweje yeye ampokee Lowassa aliyekaa CCM toka 1977, huyo Lowassa si atakuwa ameshabadilika sio shetani tena bali JINI."

Nilikosa jibu! Kama ingekua wewe ungemjibu nini?
 
Hakika jibu lake ni makini. Si busara kuvunja mtungi ili kuua panya. Sasa umeinamishwa na mapanya yanaanza kutoka kilichobaki kuyapiga tu Oktoba 25.
 
Ningemwambia majibu kamili ni 25 october
 
Na bado .................. mutanyooka tu maana hakuna namna tena tukutane october
 
Jana nashukuru baada ya hotuba ya Freeman Mbowe kumalizika, nilikutana na katibu CCM itikadi na uenezi, kama kawaida hakosagi neno, sambamba na utani wake kwangu, akaniuliza"

" Tumemsikia Freeman Mbowe akisema malaika kama utamwingiza ndani ya CCM baada ya mwezi tu hubadikika na kuwa shetani,!! Sasa iweje yeye ampokee Lowassa aliyekaa CCM toka 1977, huyo Lowassa si atakuwa ameshabadilika sio shetani tena bali JINI."

Nilikosa jibu! Kama ingekua wewe ungemjibu nini?

Akupe tofauti ya JINI. na. SHETANI
 
Jana nashukuru baada ya hotuba ya Freeman Mbowe kumalizika, nilikutana na katibu CCM itikadi na uenezi, kama kawaida hakosagi neno, sambamba na utani wake kwangu, akaniuliza"

" Tumemsikia Freeman Mbowe akisema malaika kama utamwingiza ndani ya CCM baada ya mwezi tu hubadikika na kuwa shetani,!! Sasa iweje yeye ampokee Lowassa aliyekaa CCM toka 1977, huyo Lowassa si atakuwa ameshabadilika sio shetani tena bali JINI."

Nilikosa jibu! Kama ingekua wewe ungemjibu nini?

Ningemjibu hata uwe jini ukiingia CDM hata kwa dakika moja tu unakuwa malaika
 
Jibu lake ni kuwa japo dhambi zenu ni nyekundu kama damu mkijinyenyekeza na kutubu mtakuwa weupe kama theruji

Kuna ule wimbo huimbwa Lutheran MTU akirud kundini;
"....ni furaha mwenye dhambi mmoja akitubu......"
 
Lengo la chadema ni kuibomoa ccm na hapo tunachomoa nguzo moja baada ya ingine hata wasira asema anakuja tunampokea tu maana haji peke yake na lazima ataacha ufa ccm

Mwisho wa siku nyumba inashuka kama ile September 11 attack
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom