Masaki
JF-Expert Member
- Mar 7, 2006
- 3,463
- 752
Haaa haaa before promising anything to a woman......request her to wash her face and see the originality!
Ndio maana mnashauriwa kutoangalia sura kwenye harusi au sikukuu, au kwenye mitoko!
Haaa haaa before promising anything to a woman......request her to wash her face and see the originality!
we guys can't be like you gals. y'all are supposed to look sharp 24/7. to me if you look a hot steaming mess even once, i dump you. have you ever been dumped?[/QUOTE]
You must be fake Julius.
Kui, dear afadhali umewaambia ukweli ingawa ni kizushi zushi lakini ina ukweli ndani yake jamani ama sio? Yaani hata mimi nilikuwa najiuliza siku zoote hizo kweli yaani wanatuonea hawa, mi namjua mmoja niliwahi kumuona ametoka kuamka yaani utadhani kaibiwa milioni moja na kibaka kariakoo, kisha akashindwa kumpata![/QUOTE]
duh yaani this made my day..senksi!!! hapo pa red!
Ukitaka kuona uzuri wa mwanamke mvizie anapo amuka ukiona hana matongo tongo machoni huyo sio mzuri ukiona hana udenda kwenye shavu huyo mbaya bana.
Well, you guys need to look the same too, sio mnaachia vitambi visivo na mbele wala nyuma, sometimes you can't even tell what's the behind and what's the front.
Guys, mnaposema kwamba mnataka mwanamke ambaye akiamka asubuhi afanane kama anapokuwa anaenda out, like clubbing or on a ceremony, what d' you mean? when you guys wake up especially in the morning do you usually look like you're already brushed up and ready to go? If that's not the case then, how d' you expect us to look gorgeous and sharp as soon as we wake up, which y'all know that, it's impossible? ( Halafu you guys are the ones who look terrible when you just wake up, mnakuwa kama mmetoka kupigana)
Weekend njema!
watu tupo tofauti..
mimi napenda natural beauty..
napenda zaidi mwanamke anapokuwa
ametoka kuoga,bila ma make ups yoyote....
i usually enjoy women after having a shower pamoja.
Haaa haaa before promising anything to a woman......request her to wash her face and see the originality!
Haaa haaa before promising anything to a woman......request her to wash her face and see the originality!
... exactly!
unakutana na mtu kajikandika 'mapochopocho' usoni utadhani mdoli,
-nywele feki
-nyusi feki
-macho feki
-rangi ya uso feki
-rangi ya mdomo feki
-beauty-spot feki
No wonder kwenye udugu wa shuka anaendeleza 'usanii' vile vile!
make up ndio zinawaangusha asubuhi.Du nyie wanaume wa ajabu sana mkimuona mdada hajafanya yote hayo hata hamumuangalii iweje leo ,mambo ya uzuri wa foundation kila sekita
:d:d:d
watu tupo tofauti..
mimi napenda natural beauty..
napenda zaidi mwanamke anapokuwa
ametoka kuoga,bila ma make ups yoyote....
i usually enjoy women after having a shower pamoja.