dexterous
JF-Expert Member
- Feb 26, 2014
- 2,038
- 3,124
Habari wana lugha
Fasihi haitokani na ombwe bali ni matokeo ya uzoefu wa mwandishi..Ni kwa vipi kauli hii imeridhiwa na waandishi wa tamthiliya mbili ulizozisoma..
Naomba kufahamisha Maana Ya Neno Ombwe Lilivyotumika katika swali hilo?
Na je swali lina hitaji nn?
Fasihi haitokani na ombwe bali ni matokeo ya uzoefu wa mwandishi..Ni kwa vipi kauli hii imeridhiwa na waandishi wa tamthiliya mbili ulizozisoma..
Naomba kufahamisha Maana Ya Neno Ombwe Lilivyotumika katika swali hilo?
Na je swali lina hitaji nn?