Unique Flower
JF-Expert Member
- Apr 19, 2019
- 12,726
- 24,936
Mwanaume akiwa na hela mbele ya mwanamke hazeeki! Anaitwa baby! Mwanamke ndo anazeeka! Mashangazi japo wanahela bado ni wazee a.k.a "mashangazi"Hivi kwa mwanamke ni umri gani sahihi kuitwa mzee.?
Maana humu kila mtu utasikia lishangazi sasa mtu ana 32 au 34 unamwita mtu lishangazi .
Na wewe una 45 to 60 nani nilimmjomba??
Semeni tu ukweli
Kashasema 32tuambie kwanza wewe una umri gani
JiandaeIla watuππ,, Kwahiyo maika30 ni shangazi
Bado sanaπππππJiandae
Kumbe under 18ππBado sanaπππππ
Kumbe naye ni lishangaziKashasema 32
HaswaaKumbe naye ni lishangazi
Hapana hapana hapanaπππππ¬Kumbe under 18ππ