Swali: Kwanini wavaa Hijab wako hivi?

Swali: Kwanini wavaa Hijab wako hivi?

Status
Not open for further replies.
Ni Washenzi Sana Hao Madada Kuna Mmoja Nimecheza Naye Dili Akanitapeli Hela Yangu Laki Nne Mpaka Leo Siongei Naye Na Akiniona Ananikimbia Halafu Ukimuangalia Ni Mtu Wa Ibada Kila Mara Kumbe Mshenzi Yaani Toka Sasa Simuamini Mwanamke Anayevaa Ijabu wala buibui
 
Sie waafrika tuna shida sana. Dini zenyewe tumeletewa lakini kila siku ni kutukanana tu. Waarabu na wazungu watazidi kututawala aisee...no light at the end of the tunnel kwa hali hii.
 
Ni Washenzi Sana Hao Madada Kuna Mmoja Nimecheza Naye Dili Akanitapeli Hela Yangu Laki Nne Mpaka Leo Siongei Naye Na Akiniona Ananikimbia Halafu Ukimuangalia Ni Mtu Wa Ibada Kila Mara Kumbe Mshenzi Yaani Toka Sasa Simuamini Mwanamke Anayevaa Ijabu wala buibui

Una lako jambo tu hijab inahusikaje na yeye kukutapeli? Angekua havai hijab je ingekuaje? Ungeondoa uaminifu kwa wote wasiovaa hijab?
 
Swali la kijinga, alafu hata hueleweki unataka nini? Sasa ukishajua wanafuga nywele itakusaidia nini?

Ukisikia u-habithi ndo huo,, wewe mambo ya wanawake wa kiislam yanamuhusu nini? kama sio choko choko nini,, wao wanaovaa mpaka chu...pi zinaonekana huwa wanauza? na kama wanauza kwanini wasiweke matangazo
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom