Mkuu sina shida na uislama kabisa, nimeukuta na nitauacha. Nataka kujua, maana lengo la kusuka nywele ni ili uwe na muonekano mzuri, sasa kama wanazificha kwanini wazisuke?
Unataka tunyoe vipara?
Mkuu sina shida na uislama kabisa, nimeukuta na nitauacha. Nataka kujua, maana lengo la kusuka nywele ni ili uwe na muonekano mzuri, sasa kama wanazificha kwanini wazisuke?
Swali la kijinga, alafu hata hueleweki unataka nini? Sasa ukishajua wanafuga nywele itakusaidia nini?
.Na wewe hizo point za kijinga heri ungepita kimya kimyaSwali la kijinga, alafu hata hueleweki unataka nini? Sasa ukishajua wanafuga nywele itakusaidia nini?
Mkuu sina shida na uislama kabisa, nimeukuta na nitauacha. Nataka kujua, maana lengo la kusuka nywele ni ili uwe na muonekano mzuri, sasa kama wanazificha kwanini wazisuke?
Sasa unataka kusema kwaajili mtu anavaa hijabu nywele ziwe timtim??Hao wasichana wakisuka au wakibana ni kwaajilii ya nafsi zao.Kwani ukipendeza mpaka umpendezee mtu???
Huwa nashangaa kwanini wasichana wanaovaa Hijab huwa wanafuga nywele au wanasuka, ukiangalia umbo la Hijab kichwani utaona kuwa wamefungia nywele kwa nyuma au wamesuka, kwanini wanasuka wakati katika maisha yao nywele zao hazitaonekana hadharani? Kwa wale walioolewa watakwambia ni spesho kwa ajili ya waume zao, kwanini hata wasichana wasio olewa bado wanasuka nywele?
Mimi nilidhani inasaidia kupendeza mbele ya watu, kwani dunia nzima ingekuwa ni wanawake tu mngejilemba?
Yaani roho yake inasumbuka kweli juu ya Uislaam !...basi tu afanyaje ! Mtu mzima unahangaikaje kuchunguza nywele za mabinti wa kiungwana na wake za watu !?
Hahahaha anataka usuke shkamoo bibi alafu mtaa mzima wazione
Hakuna Muislam anaye weza kukujibu kwahekima. Wewe subiri mitusi tu.
Umewachokoza magaidi....kazi ni kwako!
Swali la kijinga, alafu hata hueleweki unataka nini? Sasa ukishajua wanafuga nywele itakusaidia nini?
Kuvaa hujabu ni uungwana!!!!