Swali: Kwanini pete ya ndoa/uchumba huvaliwa kidole cha pili?

wa stendi

JF-Expert Member
Jul 7, 2016
24,713
26,848
Poleni na mihangaiko ya hapa na pale,

Husika na kichwa cha habari hapo juu,

Katika utafiti kidogo nilioufanya nimeweza kugundua mengi kuhusu uvaaji wa pete hususani ya ndoa au ya uchumba kwenye kidole cha pili katika mkono wa kushoto yaani katika vidole vitano ukiacha kile kidogo ni kile kinachofuta.

Ni mara chache sana labda mhusika awe hana kidole hicho au hana mkono ndo waweza kuwa kavaa mkono wa kulia na kidole huwa ni hicho hicho na utafiti nikagundua sio pete tuu hata kama ukienda hospitali hata ukifanya kipimo cha damu doctor huchukua damu kidole hicho hicho.

Naomba kujuzwa ni kwanini hicho tuu kwani vile vingine havifai?
 
Tafiti za kisayansi zinaonesha kuna Mshipa Mkubwa ktk hicho kidole unaokwenda moja kwa moja hadi moyoni,
Hivyo basi ukivaa pete hapo huwa inaunganishwa moja kwa moja upendo yaani
lile agano kwamba hautakaa utoke nje ya uhusiano wako
Na ndiyo maana ukiangalia pete ya ndoa huwa ni duara kumaanisha hakuna pa kutokea
lakini pete ya uchumba huonesha sehemu kubwa ya duara, lakini ina sehemu ya kutokea which means uchumba waweza kuvunjika.
 
Tafiti za kisayansi zinaonesha kuna Mshipa Mkubwa ktk hicho kidole unaokwenda moja kwa moja hadi moyoni,
Hivyo basi ukivaa pete hapo huwa inaunganishwa moja kwa moja upendo yaani
lile agano kwamba hautakaa utoke nje ya uhusiano wako
Na ndiyo maana ukiangalia pete ya ndoa huwa ni duara kumaanisha hakuna pa kutokea
lakini pete ya uchumba huonesha sehemu kubwa ya duara, lakini ina sehemu ya kutokea which means uchumba waweza kuvunjika.

Hiyo ya uchumba mkuu umenistua sana!!
 
Kile cha kati kina kazi yake,hivyo huwezi weka pete ya kudumu pale itasumbua(shughulini),cha kusontea na kusonkolea nacho hakifai,dole gumba kina kazi yake(kuchatia,kuonyesha ishara ya poa),kidole kidogo pete haitaonekana kina saizi ndogo pete zinahitaji kuwa na ka ukubwa ka kuonekana.
 
Kile cha kati kina kazi yake,hivyo huwezi weka pete ya kudumu pale itasumbua(shughulini),cha kusontea na kusonkolea nacho hakifai,dole gumba kina kazi yake(kuchatia,kuonyesha ishara ya poa),kidole kidogo pete haitaonekana kina saizi ndogo pete zinahitaji kuwa na ka ukubwa ka kuonekana.
Kidole gumba mbona kama kina kazi nyingine zaidi ya kuchatia na kuonyesha ishara ya poa

Yaani kazi yake ni ukiwa kwenye mambo yetu yale style mbuzi kagoma inatumika kuziba hewa kule kwingine
 
Kile cha kati kina kazi yake,hivyo huwezi weka pete ya kudumu pale itasumbua(shughulini),cha kusontea na kusonkolea nacho hakifai,dole gumba kina kazi yake(kuchatia,kuonyesha ishara ya poa),kidole kidogo pete haitaonekana kina saizi ndogo pete zinahitaji kuwa na ka ukubwa ka kuonekana.
Naomba kujua kazi ya hicho cha kati mkuu kidogo umeniacha
 
Back
Top Bottom